Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Umeikumbusha Wilaya ya mkinga.. Maramba, mwaboza, Duga, Duga moforoni, Horohoro.. 5yrs nikiwa wilaya hiyo. Nimemis Tabia za Wadigo.
Karibu uje ututembelee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeikumbusha Wilaya ya mkinga.. Maramba, mwaboza, Duga, Duga moforoni, Horohoro.. 5yrs nikiwa wilaya hiyo. Nimemis Tabia za Wadigo.
Huyu jamaa sijui ni mgnga wa kienyeji!😃😃😃
Hahahaaa. Ndio maana nikakuita tucheke wote Ses. 😜😜Huyu jamaa sijui ni mgnga wa kienyeji!😃😃😃
Kuna maeneo kuna maeneo kaniacha mdomo wazi nikajikuta nacheka mwenyewe tu Shadeeya
Bwana angu sijamuona [emoji3]
🐒Nipo hapa
Pia sijamuona kwenye listMcheck friend wake
Halafu nimepetia majina yote nikawa nalinganisha na ninao wafahamu yaani baadhi yao kapita mlemleee😃😃😃Hahahaaa. Ndio maana nikakuita tucheke wote Ses. 😜😜
Natamani kungekuwa na kitufe cha sauti usikie nilivyocheka. Hahahahaaaaa.Halafu nimepetia majina yote nikawa nalinganisha na ninao wafahamu yaani baadhi yao kapita mlemleee😃😃😃
Wee Shadeeya wewe sio kuna mmoja kaonewa hapo kweli😃😎?Natamani kungekuwa na kitufe cha sauti usikie nilivyocheka. Hahahahaaaaa.
Na kwa hakika hajakosea hata mmoja. 🙈🙈
🤣🤣🤣 S I D H A N I.Wee Shadeeya wewe sio kuna mmoja kaonewa hapo kweli😃😎?
hapa sio kweli na ndio nimeishia kusoma ujinga wako, liheshimu hili jina sheikh... hajawahi tokea mtu tajili kama Sele tangia dunia iundwe hadi itakapo isha.... so hata watu wanaotumia hilo jina posibility ya kua kama ulivyoandika hapa ni ndogo sana13. Suleiman-Muda wote yupo busy lakini hana hela