Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Ukaedit sasa uandike full name wengine tumechanganyikiwa.

Ila umepatia kabisa akina Mohamed wana maneno matamu sana. Akikukosea ukilogwa ukampa nafasi ya kukuomba msamaha hata kama ulikuwa na mpango wa kumwacha lazima ughairi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukaedit sasa uandike full name wengine tumechanganyikiwa.

Ila umepatia kabisa akina Mohamed wana maneno matamu sana. Akikukosea ukilogwa ukampa nafasi ya kukuomba msamaha hata kama ulikuwa na mpango wa kumwacha lazima ughairi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa honestly nimepata ka harufu ka 'experience'..!!
 
Back
Top Bottom