Sawa halafu Mudi kirefu chake ni nini?Akikujibu nitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa halafu Mudi kirefu chake ni nini?Akikujibu nitag
😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi atakuwa alikudanganya anaitwa nani?
Usinikatae kwa sababu hio basi...Ha ha ha ukweli wa kutafuta na manati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati mwingine mtu anaweza kuwa mganga wa kienyeji bila kujijua
Sawa dear. Maana hapo sijaona jina alilonidanganya mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23]
Nitakuambia kule kwetu sirini.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi atakuwa alikudanganya anaitwa nani?
Hazard CFC nakuheshimu sana na unajua naomba uniambie wamekusingizia.!! [emoji23] [emoji23]
😂 😂Sawa dear. Maana hapo sijaona jina alilonidanganya mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukaedit sasa uandike full name wengine tumechanganyikiwa.Mohamed
Wewe ulinidanganya kitu. Halafu ukiwa serious kabisa.Usinikatae kwa sababu hio basi...
Relax Hazard, mbona B anatania tu hapa jamani..!!Kwanini uhisi nimemdanganya jina? Wakati hata akiangalia tu kwenye m pesa analikuta
Sawa usilie sasa. Hautaniwi?Kwanini uhisi nimemdanganya jina? Wakati hata akiangalia tu kwenye m pesa analikuta
Hapa honestly nimepata ka harufu ka 'experience'..!!Ukaedit sasa uandike full name wengine tumechanganyikiwa.
Ila umepatia kabisa akina Mohamed wana maneno matamu sana. Akikukosea ukilogwa ukampa nafasi ya kukuomba msamaha hata kama ulikuwa na mpango wa kumwacha lazima ughairi [emoji23][emoji23][emoji23]