Umeikumbusha Wilaya ya mkinga.. Maramba, mwaboza, Duga, Duga moforoni, Horohoro.. 5yrs nikiwa wilaya hiyo. Nimemis Tabia za Wadigo.
Huyu jamaa sijui ni mgnga wa kienyeji!πππ
Hahahaaa. Ndio maana nikakuita tucheke wote Ses. ππHuyu jamaa sijui ni mgnga wa kienyeji!πππ
Kuna maeneo kuna maeneo kaniacha mdomo wazi nikajikuta nacheka mwenyewe tu Shadeeya
Bwana angu sijamuona [emoji3]
πNipo hapa
Pia sijamuona kwenye listMcheck friend wake
Halafu nimepetia majina yote nikawa nalinganisha na ninao wafahamu yaani baadhi yao kapita mlemleeeπππHahahaaa. Ndio maana nikakuita tucheke wote Ses. ππ
Natamani kungekuwa na kitufe cha sauti usikie nilivyocheka. Hahahahaaaaa.Halafu nimepetia majina yote nikawa nalinganisha na ninao wafahamu yaani baadhi yao kapita mlemleeeπππ
Wee Shadeeya wewe sio kuna mmoja kaonewa hapo kweliππ?Natamani kungekuwa na kitufe cha sauti usikie nilivyocheka. Hahahahaaaaa.
Na kwa hakika hajakosea hata mmoja. ππ
π€£π€£π€£ S I D H A N I.Wee Shadeeya wewe sio kuna mmoja kaonewa hapo kweliππ?
hapa sio kweli na ndio nimeishia kusoma ujinga wako, liheshimu hili jina sheikh... hajawahi tokea mtu tajili kama Sele tangia dunia iundwe hadi itakapo isha.... so hata watu wanaotumia hilo jina posibility ya kua kama ulivyoandika hapa ni ndogo sana13. Suleiman-Muda wote yupo busy lakini hana hela