Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ilitokea huku kwetu Kwatogole, dada wa kazi kwenye familia ya mume mke na mtoto wa kike wa miaka miwili. Siku ya kwanza mtoto alikua analia baada ya kula, mama alitoa ki tub kidogo cha ice cream alimpa dada alimshe mtoto. Dada alionja kidogo aliipenda na kuwaza kuchwani hawa watu wanakula vitamu.
Siku ya pili ilikua weekend, mama ameamka hakutaka kuwasumbua mume na mtoto wake chumbani, alifika sebuleni akaanza kupaha shaving cream makwapani, mara mtoto alianza kulia, alikimbia chumbani kumchukua mtoto aliporudi alimkuta dada ana kamua shaving cream mdomoni.
Mama alipiga kelele na kupata msaada na mume na majirani walitokea. Ilibidi dada apelekwe zahanati kwa huduma ya kwanza.
Tangu ile siku kila alichoona ni kigeni kwake hakula mpaka apewe uhakika na wenyeji wake kuwa anaweza kula.
Siku ya pili ilikua weekend, mama ameamka hakutaka kuwasumbua mume na mtoto wake chumbani, alifika sebuleni akaanza kupaha shaving cream makwapani, mara mtoto alianza kulia, alikimbia chumbani kumchukua mtoto aliporudi alimkuta dada ana kamua shaving cream mdomoni.
Mama alipiga kelele na kupata msaada na mume na majirani walitokea. Ilibidi dada apelekwe zahanati kwa huduma ya kwanza.
Tangu ile siku kila alichoona ni kigeni kwake hakula mpaka apewe uhakika na wenyeji wake kuwa anaweza kula.