jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Usisahau mrejesho..jinsi ulivyo mla kimasihara.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥰🥰🥰Ili wanaume muda mwingine tuna matatizo. Mfanyakazi kaletwa kuja kutimiza ayo majukumu ambayo uliona mke wako kipenzi yanamchosha na kumuwia ugumu.
Mkuu swala la kuandaliwa maji ya kuoga ni mambo ya kawaida ata kupakuliwa chakula ni maswala ya kawaida. Ata leo useme umuoe huyo utarudi humu kulalamika mke wangu mpya kabadirika na beki 3 anatimiza majukumu yake.
Ufunge na wewe Ata shower [emoji371] kupelekea maji bafuni sio kipimo cha upendo
Hamna wife anajisahauUshamtamani tu acha visingizio
Sidhani kama nitafika hukoUsisahau mrejesho..jinsi ulivyo mla kimasihara.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah wapi nampenda mkewanguMpandishe cheo
Hilo najua.Unataka kusema nn kwan "? Mke atabaki kuwa mke t "hg atabaki kuwa hg so acha kum compare mke wako na hg wa kazi za ndani kwa vigezo dhaifu kama ivyo ....
Hahahaha siweziMpandishe sasa cheo toka beki 3 kuwa mke mdogo
Unatetea ujinga mkuuIli wanaume muda mwingine tuna matatizo. Mfanyakazi kaletwa kuja kutimiza ayo majukumu ambayo uliona mke wako kipenzi yanamchosha na kumuwia ugumu.
Mkuu swala la kuandaliwa maji ya kuoga ni mambo ya kawaida ata kupakuliwa chakula ni maswala ya kawaida. Ata leo useme umuoe huyo utarudi humu kulalamika mke wangu mpya kabadirika na beki 3 anatimiza majukumu yake.
Ufunge na wewe Ata shower [emoji371] kupelekea maji bafuni sio kipimo cha upendo
Dada anajua majukumu yake kumzidi wife [emoji1787][emoji1787]Kwahiyo unataka kusemaje mkuu? Em fafanua vema
[emoji1787][emoji1787] tafadhaliSema dudu ishakusimama kwa mtoto wa watu,ukimpa mimba uoe siyo mumrudishe kwao akateseke
Ha ha haa,we jamaa wewe[emoji1787][emoji1787] tafadhali
Habari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili . Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba no mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke . Lakini kuna jambo moja linanishangaza.hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu amefika nimeona mabadiliko ya ghafla sana.
1. Haambiwi kitu huwa anafanya kabla hujamuuliza mf.nimezoea kumwambia mkewangu nitayarishie maji ya kuoga. Yeye kabla hujasema unakuta tayari ameshaandaa.
2. Hasubiri nimwambie nataka chai au chakula nikitoka tuu kama ni asubuhi tayari ameshaniandalia chai mezani hivyo hivyo nikirudi nyumbani ananiwekea chakula mezani. Mkewangu mpaka nimwambie. Nimeona tofauti kubwa sana ya mkewangu na huyu dada wa kazi.
Ni hayo tuu.
Huyo shetani anayekudanganya dominika hii sio mgeni kwa wanaume wengi wenye familia na wenye wafanyakazi wa ndani wadada.... huwa anaanza kidogo kidogo hivyo hivyo halafu atakuambia kwa sauti ya upole "kwanini usijaribu na vingine?" mkatae mapema huyo ibilisi ....Habari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili . Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba no mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke . Lakini kuna jambo moja linanishangaza.hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu amefika nimeona mabadiliko ya ghafla sana.
1. Haambiwi kitu huwa anafanya kabla hujamuuliza mf.nimezoea kumwambia mkewangu nitayarishie maji ya kuoga. Yeye kabla hujasema unakuta tayari ameshaandaa.
2. Hasubiri nimwambie nataka chai au chakula nikitoka tuu kama ni asubuhi tayari ameshaniandalia chai mezani hivyo hivyo nikirudi nyumbani ananiwekea chakula mezani. Mkewangu mpaka nimwambie. Nimeona tofauti kubwa sana ya mkewangu na huyu dada wa kazi.
Ni hayo tuu.
Basi vumilia acha kulalamika MpwaAah wapi nampenda mkewangu