Dada wa kazi anani-blackmail baada ya kutembea naye

Dada wa kazi anani-blackmail baada ya kutembea naye

Mkuu hiyo issue ni hatari sn sn b'se usipokua makini unaweza ukamkosa hata mkeo [emoji12], ushauri kiduchu ktk hilo mtafute mkalishe chini myaongee vzr ili kuyamaliza otherwise mkeo atasepa kwao mkuu [emoji2297]
 
Habari za muda huu wapendwa?

Jamani niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna binti mmoja wife alimleta hapa home kwa madhumuni ya kufanya kazi yaani house girl. Basi siku ya kwanza alipofika huyu dada nilimuona kama mtoto mdogo sana, baada ya kumaliza kama wiki hivi, nilianza kumzoea taratibu taratibu pia yeye alianza kunizoea kiaina.

Siku moja alitaka kwenda kuoga akawa amejifunga kanga moja halafu akanitania kwa kusema “shemeji twende tukaoge wote” na mimi nilimjibu kwa utani huku nikitabasamu na kusema “tangulia shemeji”.

Basi alipotoka bafuni tena akaniambia “mbona umenidanganya shemeji?” Nilishangaa kwani mimi nilichukulia kama ni utani tu kumbe alikuwa anamaanisha kweli. Wakati yupo chumbani nilisikia sauti yake tena akiniita nilipofika eti ananiuliza mafuta ya kupaka, nikamuelekeza sehemu yalipo.

Kabla sijaondoka eti ananiambia “naomba unisaidie kunipaka mafuta shemeji”. Duuh niliogopa sana maana huyu binti japo alikuwa ni mdogo lakini alikuwa na bonge la chura. Basi wakati naendelea na zoezi la kumpaka mafuta mara nikamsikia akitoa miguno ambayo siielewielewi.

Uzalendo ukamshinda na kuniambia “shemeji naomba unisaidie najisikia hamu kweli shemeji yangu”. Nami bila hiyana nilimpa dozi kweli kweli mpaka akasema shemeji sikuachi.

Tatizo limeanza pale alipofukuzwa na wife kwa kosa la utovu wa nidhamu. Cha ajabu ananilalamikia eti nimelala nae bila kumpa chochote. Mara anasema nimemaliza shida zangu halafu simjali tena. Ananitumia meseji za vitisho, anasema kama nataka kuendelea kuishi basi nimpe hata milioni moja afanye kama mtaji aanzishe biashara yeyote la sivyo patachimbika.

Sasa naombeni ushauri wadau huyu dada ana maana gani?
Nitumie picha yako na yake ili tujue housemaid Ni yupi kati yenu
 
Ile kusema amemuelekeza H.G sehemu ya kuchukua mafuta ya kujipaka wakati H.G alikuwa chumbani kwake baada ya kutoka kuoga pekee inaelekea ni zaidi ya hekaya za abunuasi
Ikumbukwe hg ana zaidi ya wiki humo ndani. Halafu hg hawezi kuwa jasiri kiasi hicho.
 
Sasa naombeni ushauri wadau huyu dada ana maana gani? ANA MAANA WEWE NI BWEGE kama inzi wa chooni...kuingia anaingia kimya kimya kutoka makelele....
 
Habari za muda huu wapendwa?

Jamani niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna binti mmoja wife alimleta hapa home kwa madhumuni ya kufanya kazi yaani house girl. Basi siku ya kwanza alipofika huyu dada nilimuona kama mtoto mdogo sana, baada ya kumaliza kama wiki hivi, nilianza kumzoea taratibu taratibu pia yeye alianza kunizoea kiaina.

Siku moja alitaka kwenda kuoga akawa amejifunga kanga moja halafu akanitania kwa kusema “shemeji twende tukaoge wote” na mimi nilimjibu kwa utani huku nikitabasamu na kusema “tangulia shemeji”.

Basi alipotoka bafuni tena akaniambia “mbona umenidanganya shemeji?” Nilishangaa kwani mimi nilichukulia kama ni utani tu kumbe alikuwa anamaanisha kweli. Wakati yupo chumbani nilisikia sauti yake tena akiniita nilipofika eti ananiuliza mafuta ya kupaka, nikamuelekeza sehemu yalipo.

Kabla sijaondoka eti ananiambia “naomba unisaidie kunipaka mafuta shemeji”. Duuh niliogopa sana maana huyu binti japo alikuwa ni mdogo lakini alikuwa na bonge la chura. Basi wakati naendelea na zoezi la kumpaka mafuta mara nikamsikia akitoa miguno ambayo siielewielewi.

Uzalendo ukamshinda na kuniambia “shemeji naomba unisaidie najisikia hamu kweli shemeji yangu”. Nami bila hiyana nilimpa dozi kweli kweli mpaka akasema shemeji sikuachi.

Tatizo limeanza pale alipofukuzwa na wife kwa kosa la utovu wa nidhamu. Cha ajabu ananilalamikia eti nimelala nae bila kumpa chochote. Mara anasema nimemaliza shida zangu halafu simjali tena. Ananitumia meseji za vitisho, anasema kama nataka kuendelea kuishi basi nimpe hata milioni moja afanye kama mtaji aanzishe biashara yeyote la sivyo patachimbika.

Sasa naombeni ushauri wadau huyu dada ana maana gani?
Sasa si umpe hiyo milioni? Unatusumbua bure
 
We jamaa ni mjinga sana hata huyo mke wako atakuwa anaishi nawe kwa shida sana, baba mwenye nyumba kumla house girl ni tabia za kishenzi.

Are you he or she? No offense!
 
Habari za muda huu wapendwa?

Jamani niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna binti mmoja wife alimleta hapa home kwa madhumuni ya kufanya kazi yaani house girl. Basi siku ya kwanza alipofika huyu dada nilimuona kama mtoto mdogo sana, baada ya kumaliza kama wiki hivi, nilianza kumzoea taratibu taratibu pia yeye alianza kunizoea kiaina.

Siku moja alitaka kwenda kuoga akawa amejifunga kanga moja halafu akanitania kwa kusema “shemeji twende tukaoge wote” na mimi nilimjibu kwa utani huku nikitabasamu na kusema “tangulia shemeji”.

Basi alipotoka bafuni tena akaniambia “mbona umenidanganya shemeji?” Nilishangaa kwani mimi nilichukulia kama ni utani tu kumbe alikuwa anamaanisha kweli. Wakati yupo chumbani nilisikia sauti yake tena akiniita nilipofika eti ananiuliza mafuta ya kupaka, nikamuelekeza sehemu yalipo.

Kabla sijaondoka eti ananiambia “naomba unisaidie kunipaka mafuta shemeji”. Duuh niliogopa sana maana huyu binti japo alikuwa ni mdogo lakini alikuwa na bonge la chura. Basi wakati naendelea na zoezi la kumpaka mafuta mara nikamsikia akitoa miguno ambayo siielewielewi.

Uzalendo ukamshinda na kuniambia “shemeji naomba unisaidie najisikia hamu kweli shemeji yangu”. Nami bila hiyana nilimpa dozi kweli kweli mpaka akasema shemeji sikuachi.

Tatizo limeanza pale alipofukuzwa na wife kwa kosa la utovu wa nidhamu. Cha ajabu ananilalamikia eti nimelala nae bila kumpa chochote. Mara anasema nimemaliza shida zangu halafu simjali tena. Ananitumia meseji za vitisho, anasema kama nataka kuendelea kuishi basi nimpe hata milioni moja afanye kama mtaji aanzishe biashara yeyote la sivyo patachimbika.

Sasa naombeni ushauri wadau huyu dada ana maana gani?
Hii story inasisimua, ebu tuwekee picha ya huyo mdada nahisi atakuwa ni yule niliyekutana naye.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀 hii Chai imezidi Sukari, Mwanaume mzima na akili zako timamu ulitoka wapi kumpaka House Girl Mafuta?
 
hiyo ni blackmail mzee na ni kosa la jinai anafanya...mimi ni mwasheria na ushauri wangu wa kisheria mpeleke mahakaman mfungulie kesi
siyo ushauri mzuri atamloga. Wanawake ni wachawi sana
 
We jamaa ni mjinga sana hata huyo mke wako atakuwa anaishi nawe kwa shida sana, baba mwenye nyumba kumla house girl ni tabia za kishenzi.
father Abraham mshenzi? Sema tu huwezi kuomba mzigo. Huna mvuto! Wa mapenzi.
unawajua house maid wewe?
 
Back
Top Bottom