Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BI Dalali amezaa na MC gani maarufu?
Ndio maana binamu warumi alikuwaga hapendi code, code zinachelewesha umbea kusambaa kwa haraka 😂 😂 😂 😂 😂Mambo yamemchachia na hali ya kiafya kubadilika baada ya balozi wa bidhaa flani ya kuogea kuingia theatre nchini uturuki hapo juzi kwa ajili ya sajari ya kurekebisha matiti na baadhi ya sehemu za mwili.
Safari ya uturuki ilidhaminiwa na boss wake ambaye ni dada ya mjini (ambaye jina lake la kwanza linafanana na malkia mmoja ambaye aliingia kwa mfalme akiwa natural yaani bila kujipodoa na mfalme akavutiwa naye. Jina la pili la sponsa aliyesimamia gharama ya safari hii ni broker).
Watu wako kwenye maombi ili Mungu amsaidie mambo yabadilike maana hali si hali kwa mdhamini (anawaza atapeleka wapi mtoto wa watu kama likimpata baya) na mdhaminiwa (ambaye inqvyosemekana yuko icu).
Huyu balozi wa bidhaa pia ni mzazi mwenzake na MC mmoja maarufu sana na mwenye maneno ya kukera. Ila jamani tuacheni kumkosoa Mungu...kama Mungu amekuumba na pasi ridhika, kama Mungu amekuumba na sura ya baba ridhika.
Na ndo ilikuwa personality yake.... sasa akitoa sijui kama kuna jipya. Ila wanasema eti huenda ikawa si manyonyo yaliyompleka kuna Ramani nyingine na sponsa ni mume wa mdada mwenye trakko kubwa kiuno nyigu (huyu me mwenyewe sijammanya)Wanaomtaja warumi kwenye kila nyuzi za ubuyu ni wanafiki wakubwa. Kila akileta uzi na kuweka madoido yake kama misonyo,matusi reja reja mlikua mnamkejeli,mnamtukana. Mwacheni apumzike kaka wa watu.
Ila mashalove nae sijaona cha kubadili,zile nyonyo angevaa sindiria vizuri mbona zipo bomba tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan akat ndo yalikuwa zimio la MC matashiti, lolWatu wanahela za kuchezea jamani...yale maziwa ya Dada balozi yanashida gani hadi waamue kuyapeleka Turkey?
[emoji23][emoji23][emoji23]Vile witnessj na pacha wake wanakuja kufuatilia umbea[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1958122
Nimewaza hivyo mie, uwiiiiihAu wameshaanza kuwapakilisha poda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana binamu warumi alikuwaga hapendi code, code zinachelewesha umbea kusambaa kwa haraka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mume gan? Yule wa ughaibun aliyezaa nae, au ex wake wa kitengo fulan pale sehemu nyeti nchini? WeuweeeeeeeeeeeeehNa ndo ilikuwa personality yake.... sasa akitoa sijui kama kuna jipya. Ila wanasema eti huenda ikawa si manyonyo yaliyompleka kuna Ramani nyingine na sponsa ni mume wa mdada mwenye trakko kubwa kiuno nyigu (huyu me mwenyewe sijammanya)
Warumi ni ke nduguWanaomtaja warumi kwenye kila nyuzi za ubuyu ni wanafiki wakubwa. Kila akileta uzi na kuweka madoido yake kama misonyo,matusi reja reja mlikua mnamkejeli,mnamtukana. Mwacheni apumzike kaka wa watu.
Ila mashalove nae sijaona cha kubadili,zile nyonyo angevaa sindiria vizuri mbona zipo bomba tu