Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Nilikuwa najiuliza kwamba zile sabuni za kuogea zinalipa mpaka balozi apewe offer ya sajari Uturuki!!! Kumbe kuna mengine nyuma ya pazia.
Ila yale maembe ni identity yake jamani, sijui kwanini wanayatoa.
 
Mleta mada humu JF nae kakopi kwa nyampua
Weee nimepata kwa vyanzo vyangu mwenyewe.... kalete mtu mwingine alopost kabla yangu neno kwa neno...
Hoja ya milly nloweka ni update ya sponsa wa kiume tu tena nimeandika kwenye comments
 
Weee nimepata kwa vyanzo vyangu mwenyewe.... kalete mtu mwingine alopost kabla yangu neno kwa neno...
Hoja ya milly nloweka ni update ya sponsa wa kiume tu tena nimeandika kwenye comments
Kwani ukiwa wa mwisho kutoa udaku au ukiwa ume copy na paste kinaongezeka nini kinapungua nini au mnataka sifa zisio na kichwa ba miguu
 
Back
Top Bottom