Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Kwani ukiwa wa mwisho kutoa udaku au ukiwa ume copy na paste kinaongezeka nini kinapungua nini au mnataka sifa zisio na kichwa ba miguu
Relax ... huku umbeani hatutumii nguvu...huku raha tupu.
Umenituhumu kwamba nimekopi lazima nijibu kwamba sijakopi .....issue za sifa umeandika ww.
Sifa bila hela nani abatakaa?
 
Kajala anafurahisha sana[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mwanawe!but namuelewa maana ndo uzazi tena!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti anafurahisha sana
Hahaha sipati picha comments za wana,
Ukute wameamua kuigiza
 
Yale maziwa lazma yalikuwa yanaambatana na maumivu ya mgongo tusilaumu sana
 
1) Malkia aliitwa Ester

2)Broker kwa kiswahili ni Dalali

Salam ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye Bunyero,mwambie simba kasharara anataka msambwanda kwa buku jero. Aje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dadadekii umetembelea viatyu vyangu bishooo wew
 
Acha mkuu kuwa disappoint Watu hapa upo mchuano wa kumtafuta mrithi wa warumi
Hee kumbe kuna mchuano? Me sikujua.
Asee how on earth utake kuwa mtu fulani? Kila mtu ashinde mechi zake na warumi aachwe apumzike hadi siku ya ufufuo wa kwanza au wa pili kutegemeana na matendo yake (hii ni kulingana na imani yangu).
 
Back
Top Bottom