KERO Dada yangu amefariki kwa kuishiwa Oxygen baada ya Muhimbili kufosi kumpeleka Mloganzila

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nchi ingeanzisha university teaching hospital ili adactari na manesi wawe na viwango vya juu vya kitoa huduma. Vyuo vilivyopo vinatoa madactari n manesi waso na viwango.
 
Pia watu wasidharau hospital za mikoa na rufaa maana ndoo zinazotoa rufaa chapu kwenda mhimbili
sahihi ,unampaje mtu rufaa ameisha apewe rufaa akiwa bado ananguvu kiasi Cha kujitegemea

Ocean road waliomweka mgonjwa anazidiwa hawalaumiwi wanalaumiwa hospitali nyingine ambayo hatamgonjwa haijamshughulikia
 
Hospital za serikali za tz ni lango la kifo,nchi ina laana hiyo,madaktari na wauguzi hawana utu hata kidogo, walivyo mazuzu watakuja kukanusha, poleni sana Mungu atawalipia tu
 
Mwingine kalalamika ndugu yake kafia kituo cha afya kimara kwa uzembe wa aina hii. Nchi imeoza.
Kimara ni kwa kipuuzi mno, hizo case ni kawaida pale. Wahudumu wa afya wanapiga soga chumba cha daktari😂 huku kuna mgonjwa serious anataabika.
 
Nachokiona tu ni kuwa ukiona Mgonjwa wako anatolewa muhimbili na kupelekwa Mloganzila mara nyingi anakuwa kwenye terminal stage. Ikiwa atapona basi jua ni miujiza ya Mungu tu. Ila mara nyingi watu wanaokuwa directed Mloganzila huwa hawatoboi.

Nina aunt yangu alipigwa stroke ya kichwani mishipa ika burst na kusambaa damu kichwani. It took about four days akiwa Mloganzila before death took charge.
 
Kwahio tukiambiwa mgonjwa anahamishiwa Mloganzira tuanze kuandaa maturubai?
 
Daktari wa Muhimbili anamuona Askari Polisi mla rushwa tena mzembe, Anamuona pia Mkatisha Tiketi wa SGR kuwa naye ni janja janja tu, Askari Polisi Anamuona Daktari mzembe tu, Mkatisha Tiketi naye Anamuona Daktari mzembe mzembe tu, pia watu wanaolalamika kwenye huu Uzi nao kwenye nafasi zao wanakula rushwa pia ni wazembe tu.
Siku Kila mtu akiwa mwaminifu kwenye kazi yake au nafasi yake aliyopewa basi haya malalamiko yatapungua mno au yataisha kabisa.
KILA MTU ATOE HUDUMA KWA UAMINIFU SEHEMU ANAYOFANYIA KAZI.
 
Pole sana mkuu na roho ya marehemu ipumzike kwa amani. Kwa mujibu wa makala yako inaonesha dhahiri wahudumu wa afya wanaohusika na mitungibya oxygen hawakuwa makini kugundua mtungu ujaO wa gesi ni imepungua kukidhi kiwango cha umbali kutoka upanga to mlonganzila pole sana kwa kumpoteza mpendwa wako kwa usembe wa oxygen kama ulivyosema.

Nashahuri siku nyingine fivha taarifa ya mpendwa wako.
 
Bora mgonjwa angebaki Hindu Mandal huenda angepatiwa matibabu sahihi,

Muhimbili sijawahi kuiaminii hata, tena huko Mloganzira ndo kituo cha vifo hapoo.

Duuuh poleee sana kwa msibaa, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hata Hindu Mandal ingelekewa wagonjwa wanaopelekwa MLOGANZILA rate ya vifo Ingekuwa kubwa
 
Pole Sana madaktari haogopi kumpoteza ndugu, wazembe sana Hao MNH 2012 nilipoteza ndugu yangu kwa majo tuu yalimuishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…