Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani dah' Diagnosis nje kabisaaaMaxence Melo Moderator
Tafadhali sana tumsitiri marehemu kwa kuondoa hizo documents za hospitali.
Naona mfiwa amepata taharuki iliyompelekea kuexpose taarifa za mgonjwa.
...
Mleta mada kipo kitengo cha kupokea malalamiko hapo muhimbili sio busara kuachama taarifa za dada yako namna hii.
All in All pole kwa kufiwa...
Kwenye oxygen hapo wamezingua sana na je kama vitanda vimeisha wangefanyaje?Hata kama saratani ilikuwa ni hatua mbaya sana,njia iliyotumika kumondoa marehemu ni ya kikatili sana,hakuna kitanda,wakati hela ilishatolewa,vipi kuhusu swala la Oxygen nalo kwanini isiwekwe ya kutosha...
hapo hapo unasikia mwenezi ananzunguka kusimamia ilani mara mama atatuvusha mara ccm mbele kwa mbele nchi inanmambo hii ila uzembe umezidiMwingine kalalamika ndugu yake kafia kituo cha afya kimara kwa uzembe wa aina hii. Nchi imeoza.
Mbaya sana hiiYaani dah' Diagnosis nje kabisaaa
Duh! PoleniDuh Pole sana Ndugu yangu, Mimi juzi nusura tumpoteze Ndugu yangu pale MOI, alipata Ajali Tanga, akapelekwa hospital ikaonekana ni issue KUBWA, tukaomba referral kuja MOI. Wakaondoka Tanga kuja MOI wakafika saa nne usiku, tukapokelewa, mgonjwa hakua na jeraha kwa nje ila alilalamika maumivu Sana, saa SITA na nusu usiku akafanyiwa vipimo.
Vichekesho vikaanza, mgonjwa wa referral akapewa majibu kuwa hajaumia yuko poa hayo ni maumivu Tu, tukaandikiwa dawa tukaruhusiwa tukiwa tumembeba mgonjwa wetu. Analia maumivu makali sana.
Asubuhi mgonjwa hali ikawa mbaya zaidi ikabidi tumpeleke hospital Fulani pale TEGETA akafanyiwa MRI ikaonekana ana internal bleeding na tayari mwili ulikua ushaanza ku-react, yaani damu inaisha na anahisi tumbo kuvimba na kushindwa kupumua.
Ikabidi tukubaliane afanyiwe emergency operation kuanzia saa Saba mchana Hadi saa mbili usiku, wakamtoa bandama, ndio ilikua imeumia na kupelekea damu nyingi sana kuvujia Ndani, walitoa damu 2ltrs.
Hayo ndio yaliyotukuta MOI yaani tungerelax tukamuamini yule Dr Leo Hii ningekua msibani.
Poleni Sana Ndugu zangu
Kwamba wafanyakazi wa hiyo mamlaka hapo muhimbili hawajuani na hao wafanyakazi wa muhimbili?..hiyo siyo kesi ya nyani kumpelekea ngedere!?..watu wawajibishwe aisee,watu wa kada ya afya hawajali maisha ya mtu,hawaogopi kifo cha mtuDaah! Poleni sana lakini mngeenda mamlaka husika hapo Muhimbili na kuwasilisha malalamiko yenu na hao wahusika kama ingebainika kweli walifanya uzembe hadi kifo kutokea wangewajibishwa.
Madaktari hospitali private waache kung'ang'ania wagonjwa ili muhimbili isionekane bucha kwawagonjwaSaratani ilikuwa imefikia hatua gani?
Pia watu wasidharau hospital za mikoa na rufaa maana ndoo zinazotoa rufaa chapu kwenda mhimbiliMadaktari hospitali private waache kung'ang'ania wagonjwa ili muhimbili isionekane bucha kwawagonjwa
MUNGU mwema anaendelea vyema kwa sasaDuh! Poleni
🤣🤣mkuu vipi unaniruhusu nitumie lile neno langu?Kesi ya ngedere umpelekee nyani.