Dada yangu ameniambukiza UKIMWI na hataki tena kunisaidia

Dada yangu ameniambukiza UKIMWI na hataki tena kunisaidia

Umalaya wako tu na hii ndio dawa yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi ni Binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo, nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidoago cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikua akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikua ananiambia kuwa anmapigakwakua dadayangu ni mkorofi, kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya Dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada,a kaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakua karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi, dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikua ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa, nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine Kaka nikuwa Dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dad ahataki kunilipia na nimjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea Kaka lakini nayeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washeni, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu
 
Sasa mkuu umeleta story mwisho wa siku unaambulia matusi kana kwamba ni wewe ndo mhusika. Ingebidi uainishe pale juu kabisa kuwa story hii umeitoa mahali fln na haikuhusu wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni Binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo, nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidoago cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikua akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikua ananiambia kuwa anmapigakwakua dadayangu ni mkorofi, kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya Dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada,a kaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakua karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi, dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikua ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa, nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine Kaka nikuwa Dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dad ahataki kunilipia na nimjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea Kaka lakini nayeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washeni, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimlaumu dada yako bali laumu tabia yako ya umalaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni Binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo, nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidoago cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikua akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikua ananiambia kuwa anmapigakwakua dadayangu ni mkorofi, kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya Dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada,a kaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakua karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi, dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikua ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa, nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine Kaka nikuwa Dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dad ahataki kunilipia na nimjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea Kaka lakini nayeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washeni, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
We akili hauna. Umepata ulichostahili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada yako amekuambukizaje ukimwi? We zwazwa kweli. Kwa hiyo ulimuibia mume ukajiona mjanja kweli. Punguani wewe.
Mimi ni Binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo, nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidoago cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikua akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikua ananiambia kuwa anmapigakwakua dadayangu ni mkorofi, kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya Dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada,a kaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakua karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi, dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikua ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa, nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine Kaka nikuwa Dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dad ahataki kunilipia na nimjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea Kaka lakini nayeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washeni, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha kuokota stori ya kipuuzi jalalani na kuileta hapa ni kuthibitisha wewe na mtunzi nyote wajinga. Huyo mtunzi wako hajui kitu kabisa yani anachanganya madesa.
 
Yaani katika maisha hakuna jambo utakalolifanya bila malipo... ulifanya zinaa na shemeji yako na hayo ndio malipo yake, sasa unahitaji nini tena.. anza kunywa dawa tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni Binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo, nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidoago cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikua akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikua ananiambia kuwa anmapigakwakua dadayangu ni mkorofi, kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya Dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada,a kaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakua karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi, dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikua ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa, nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine Kaka nikuwa Dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dad ahataki kunilipia na nimjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea Kaka lakini nayeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washeni, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Karama ya Dhambi mwisho wake ni mauti sio mimi kasome maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom