Dada yangu ameniambukiza UKIMWI na hataki tena kunisaidia

Dada yangu ameniambukiza UKIMWI na hataki tena kunisaidia

Mimi ni binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo. Nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidato cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikuwa akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikuwa ananiambia kuwa anamapiga kwakuwa dada yangu ni mkorofi, ana kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada; akaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakuwa karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi. Dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikuwa ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa. Nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine ni kuwa dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dada ahataki kunilipia na ni mjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea kaka lakini na yeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake, alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washenzi, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mshen........mkubwa yani ujinga wako umeyapata ya kupatikana sasa unaanza mlaumu dada yako usinge pata ukimwi ungeleta huu uzi wako apa? kwanza..how dare u dating her husband acha ile kwako....idiot
 
Mimi ni binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo. Nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidato cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikuwa akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikuwa ananiambia kuwa anamapiga kwakuwa dada yangu ni mkorofi, ana kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada; akaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakuwa karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi. Dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikuwa ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa. Nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine ni kuwa dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dada ahataki kunilipia na ni mjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea kaka lakini na yeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake, alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washenzi, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kweli.
 
.....................Duh nilitaka ni-comment shit moja mbaya sana ila nimekuja kuelewa hapo kwenye paragraph ya mwisho,kweli kuna umuhimu mkubwa wa kusoma na kumaliza kabla mtu hujatia neno.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kuna watu mapovu yamewatoka humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utadhani ni story ya kweli kumbe ya kutunga na aliye leta hii mada wenyewe sijui kaitoa FB, maana naona kila mtu anamshutumu kuwa kaitoa huko.
.....................Duh nilitaka ni-comment shit moja mbaya sana ila nimekuja kuelewa hapo kwenye paragraph ya mwisho,kweli kuna umuhimu mkubwa wa kusoma na kumaliza kabla mtu hujatia neno.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo. Nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidato cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikuwa akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikuwa ananiambia kuwa anamapiga kwakuwa dada yangu ni mkorofi, ana kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada; akaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakuwa karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi. Dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikuwa ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa. Nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine ni kuwa dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dada ahataki kunilipia na ni mjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea kaka lakini na yeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake, alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washenzi, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe kahaba umepata matunda ya ukahaba wako.
Unaingilia ndoa ya Dada yako alafu unakuja huku kumlahumu?
Ulipoambiwa makosa yake na huyo shemeji yako, ulienda kumuuliza dadako au ndo ulichukulia hiyo nafasi ya kumsaliti?
Yawezekana ugomvi ulikuwa kwa sababu hataki kutumia dawa, wewe ukajifanya mjuaji, haya umeshayavulia, basi yhaoge tu.
 
story kama ni kweli mimi nichukue fursa hii kumpongeza dada ako.

mwana kuyataka mwana kuyapata😉
 
Tuletee vitumbua
JamiiForums2008803519.jpg
 
Mimi ni binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo. Nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidato cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikuwa akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikuwa ananiambia kuwa anamapiga kwakuwa dada yangu ni mkorofi, ana kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada; akaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakuwa karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi. Dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikuwa ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa. Nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine ni kuwa dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dada ahataki kunilipia na ni mjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea kaka lakini na yeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake, alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washenzi, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe umerogwa?? Dada ako anahusikaje sasa wakati ni mitamaa yako shabashi
 
Kama Chai vile. kama ni kweli basi tambua kuwa Dada yako hana makosa bali wewe ndio mkosaji.
 
Mimi ni binti wa miaka 23, ni mwanafunzi wa mwaka watatu chuo. Nilikua naishi kwa dada yangu ambaye ndiyo alianza kunisomesha tangu nilipomaliza kidato cha sita baada ya wazazi wangu kufariki. Baada ya kuja kwa dada iniliona tabia mbaya za shemeji, alikua hahudumii chochote, anampiga sana dada na kila kitu anafanya dada, mpaka ada za watoto, shemeji alikuwa akimuomba pesa akikataa anampiga.

Nilikaa nikiwa chuo mwaka wa kwanza mwishoni mwishoni shemeji alikuja kwangu, akaanza kuniambia ni kwanini anampiga dada yangu, alikuwa ananiambia kuwa anamapiga kwakuwa dada yangu ni mkorofi, ana kiburi na ni mchawi anamloga ndiyo maana hafanikiwi. Aliniambia mambo mengi ya dada ambayo yalinifanya ni mchukie dada; akaniambia anataka kutoa pesa lakini dada yangu hataki kwani ni mchawi.

Nilijikuta nakuwa karibu na shemu mpaka tukaanzisha mahusiano, akawa ananipenda ikafikia hatua tunafanya mambo waziwazi. Dada alijua tukawa tunagombana lakini shemeji ndiyo alikuwa ni kila kitu akawa anampiga ananyamaza. Sasa mwaka jana mwezi wa nane nilipata ujauzito, shemeji aliniambia nibebe mimba kwani ananipenda na anataka mtoto na mimi.

Kweli nilibeba mimba, lakini nilipoenda kupima kiliniki nikaambiwa kuwa nimeathirika hivyo nianze kutumia dawa. Nilichanganyikiwa ila nilipomuambia shemeji hakujali. Nilimuambia dada akaishia kuniambia kuwa mbona yeye kaathirika muda tu anatumia dawa shemeji ndiyo aligoma kutumia dawa.

Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi, alijua kuwa mume wake anaumwa lakini hakuniambia. Shida nyingine ni kuwa dada yangu kaondoka hapa nyumbani katuachia nyumba mimi na shemeji, nyumba ina jina la dada na ina hati kabisa, shemeji alitaka kuiuza lakini akashindwa, sasa shemeji hana pesa amekua mtu wa hasira.

Kaka natakiwa kulipa ada ya chuo nililipa kidogo lakini sasa hivi shemeji hana pesa na dada ahataki kunilipia na ni mjamzito, nisaidie kaka uongee na dada yangu umuambie kuwa nimejutia kwani sina namna. Kaka yeye ndiyo anatakiwa kunisaidia kwani ni kama yeye ndiyo aliniambukiza, alijua mume wake ana UKIMWI lakini hakuniambia, najua nimemkosea kaka lakini na yeye amenikosea kwani mimi ni mdogo wake, alipaswa kunilinda.

NB: Mnaoishi kwa ndugu zenu tulieni, ukiona mpaka shemeji yako kakutongoza basi jua kuwa huyo ni mshenzi wa washenzi, aisee hivi visa vimekua vingi sana. Najua wakati mwingine ni ngumu kukataa mkishasikia pesa ila jithaminini, hao wanaume ni washenzi, yakiwakuta wanawaacha na aibu halafu hamna kitu, visa hivi ni vingi mpaka basi, aisee mnawakatisha tamaa ndugu zenu kuwasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣 HUYO DADA YAKO ALIFANYA VYEMA KABISA
 
Niliumia sana kwani dada yangu kaniambukiza UKIMWI makusudi,
Wakati unatongozwa na kukubali dada alikuwepo?
Wakati mnakulana dada alikuwepo?
Wakati huo, wewe ndo ulijiona bora kuliko dada yako, ulitakiwa ubaki na msimamo wako kama kukataa ukatae!
Usimbebeshe dada wa watu mzigo wa dhambi,
 
Mara dada mara kaka mara shemeji..yaani full mvurugano. A university student!! Jesus christ

Anyway, stori inafundisha kuwa usipende kulindwa wakati wewe kulinda hupendi
Uwandishi wake ni wa hovyo sana
 
Back
Top Bottom