Dada yangu ameniambukiza UKIMWI na hataki tena kunisaidia

Umalaya wako tu na hii ndio dawa yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pumbavu
 
Sasa mkuu umeleta story mwisho wa siku unaambulia matusi kana kwamba ni wewe ndo mhusika. Ingebidi uainishe pale juu kabisa kuwa story hii umeitoa mahali fln na haikuhusu wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimlaumu dada yako bali laumu tabia yako ya umalaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We akili hauna. Umepata ulichostahili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada yako amekuambukizaje ukimwi? We zwazwa kweli. Kwa hiyo ulimuibia mume ukajiona mjanja kweli. Punguani wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha kuokota stori ya kipuuzi jalalani na kuileta hapa ni kuthibitisha wewe na mtunzi nyote wajinga. Huyo mtunzi wako hajui kitu kabisa yani anachanganya madesa.
 
Yaani katika maisha hakuna jambo utakalolifanya bila malipo... ulifanya zinaa na shemeji yako na hayo ndio malipo yake, sasa unahitaji nini tena.. anza kunywa dawa tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karama ya Dhambi mwisho wake ni mauti sio mimi kasome maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…