Dada yangu ana jinsia mbili

labda ndo kama hivi? Lady Dude @ Free Pictures with Sexy Shemales and Asian Ladyboys

saa tangua anazaliwa hujawahi kumwona akiwa mdogo?
laizma ungejua ana sehemu mbili
Na hawa ni SHEMALES. Just wanaume ambao wameamua kufanyiwa plastick surgery kwa ajili ya kupata nafasi za ajira kwenye pornographic industry..She is an HERMOPHRODITE..Sijawahi kumuona akiwa mdogo coz ananizidi miaka tisa, by the time naanza kupata akili alikuwa tayari mdada mkubwa tu.
 
Hiyo ndude uliyoona ndio hiyo pekee hana ya kike, yeye ni shemale. Ngojea hapo watakuelimisha.

Sio shemale kaka, yeye ni HUNTHA ama Hermophrodite..she male ni wanaume wanao fanyiwa operesheni, hata w ewe ukiamua, unaweza kuwa shemale just go to Bangkok or Brazil...
 

mimi ni dada ,actually ni mama!
amini nikwambiacho!
si kila tunaowapenda na kuwajali wanapenda namna yetu ya kuonyesa tunawapenda na kuwajali!wakati mwingine keeping away from some of stuff za tunaowapenda sana ndico kitu pekee wanacokihitaji kwa wakti huo!
 

Asante kwa ushauri, nitaufanyia kazi.
 

Stori yakutunga, kama ingekuwa kweli wala sidhani kama ungeandika maneno yoote hayo, wewe unauliza JF wakati umeshuhudia firsthand!!.. btw, hivi umesema ulikuta dada ana "mashine imesimama, tena amevaa condom" kitu ambacho ni ngumu kumeza!
 
Stori yakutunga, kama ingekuwa kweli wala sidhani kama ungeandika maneno yoote hayo, wewe unauliza JF wakati umeshuhudia firsthand!!.. btw, hivi umesema ulikuta dada ana "mashine imesimama, tena amevaa condom" kitu ambacho ni ngumu kumeza!

Hata mimi natamani ingekuwa stori ya kutunga
 
Sio shemale kaka, yeye ni HUNTHA ama Hermophrodite..she male ni wanaume wanao fanyiwa operesheni, hata w ewe ukiamua, unaweza kuwa shemale just go to Bangkok or Brazil...
Hao mkuu hua wanaitwa transexual
 

Ni kweli Mkuu, llakini kuingia chumbani kuamulia ugomvi alikuwa sahihi kabisa, alichokiona ni bahati mbaya, mengine hapaswi kumuuliza dada yake kwani hakuttakiwa hata kuona alichokiona ni heri pretend hakuona! Na akimuuliza amuulize nini, ili saidie nini!
 
Badala ya kutoa ushauri you stick on lamentation kwa mtoa mada ameomba ushauri inabidi apewe kama huna ushauri tulia kimya.
 
Hao mkuu hua wanaitwa transexual

No transexual ni either mwanaume anabadili jinsia na kuwa mwanamke au mwanamke anabadili jinsia na kuwa mwanaume huntha wanazaliwa na jinsia zote
 
No transexual ni either mwanaume anabadili jinsia na kuwa mwanamke au mwanamke anabadili jinsia na kuwa mwanaume huntha wanazaliwa na jinsia zote
Sawa mkuu nimekupata ila hebu ingia kwenye mtandao gonga 'shemale' halafu uone kisha nielimishe mkuu.
 
Kiukwel haya matatiz ya kigenetics yapo,..n wht she posses ur csta wazaz wako wanajua kabs. What i thought despite the fact ana organ zote za reprdction, but one cant function! So ni vzr mkae kifmilia mjadil all of dis..coz every one havng lust,!!!!

Daaaah hii noma..mm huwa nasikiaga leo ndo nimeamini mazee
 
MAJIDAI ukienda kwa dadako tena muulize yeye ana-feel aje kuwa hivyo na kama she is fine with it YOU TOO SHOULD BE!

but all in all jus be supportive to her..usijifanye umeshtuka sana..we mtoto wa kiume!!!
 
Last edited by a moderator:
umesema dushelele ilivishwa kinga, na umesema dushelele haijatahiriwa, na ilikuwa usiku. Na hamkuwahi kujadili kuhusu jambo hilo. Swali langu: uliwezaje kujua kuwa dushelele iliyokuwa ndani ya kinga haijatahiriwa?
Kila hadithi ya kutunga, ni lazima utakosea
 
pole kwa mshtuko MAJIDAI
sidhan kam auna chakufanya zaidi ya kuwa jasiri nakumuomba Mungu akuepushie usijepata watoto wa hali hiyo.
Si unajua nawe bado ni kijana hujazaa.....huwezi jua ati!!!
 
Last edited by a moderator:
hili likisa la kubumba. Huyo mleta mada anajuaje ile kiungo ya kike ipo na inafanya kazi.
Je yeye alizaliwa ulaya asijue dada yake ana viungo viwili.
Lileta mada na lenyewe ni li 'shemale'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…