Dada yangu ana jinsia mbili

Dada yangu ana jinsia mbili

labda ndo kama hivi? Lady Dude @ Free Pictures with Sexy Shemales and Asian Ladyboys

saa tangua anazaliwa hujawahi kumwona akiwa mdogo?
laizma ungejua ana sehemu mbili
Na hawa ni SHEMALES. Just wanaume ambao wameamua kufanyiwa plastick surgery kwa ajili ya kupata nafasi za ajira kwenye pornographic industry..She is an HERMOPHRODITE..Sijawahi kumuona akiwa mdogo coz ananizidi miaka tisa, by the time naanza kupata akili alikuwa tayari mdada mkubwa tu.
 
Hiyo ndude uliyoona ndio hiyo pekee hana ya kike, yeye ni shemale. Ngojea hapo watakuelimisha.

Sio shemale kaka, yeye ni HUNTHA ama Hermophrodite..she male ni wanaume wanao fanyiwa operesheni, hata w ewe ukiamua, unaweza kuwa shemale just go to Bangkok or Brazil...
 
Nimekusoma kaka, simaanishi kumuingilia katika maisha yake but was just thinking any brother cud think about his sister..tusiseme tu every body has to mind his/her own bussiness , wakati mwingine we have to mind other people's biznez especialy when they are our beloved ones

mimi ni dada ,actually ni mama!
amini nikwambiacho!
si kila tunaowapenda na kuwajali wanapenda namna yetu ya kuonyesa tunawapenda na kuwajali!wakati mwingine keeping away from some of stuff za tunaowapenda sana ndico kitu pekee wanacokihitaji kwa wakti huo!
 
mimi ni dada ,actually ni mama!
amini nikwambiacho!
si kila tunaowapenda na kuwajali wanapenda namna yetu ya kuonyesa tunawapenda na kuwajali!wakati mwingine keeping away from some of stuff za tunaowapenda sana ndico kitu pekee wanacokihitaji kwa wakti huo!

Asante kwa ushauri, nitaufanyia kazi.
 
Habari zenu wana JF. Naomba kushare nanyi suala hili kuhusu dada yangu wa tumbo moja ambalo sikuwahi kulihisi, kulidhani wala kulijua kwa zaidi ya miaka 20. Kifupi mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23 ( Natimiza miaka 24 mwezi Juni mwaka huu ). Kwa sasa ninasoma mwaka wa mwisho katika chuo kikuu kimoja hapa nchini Tz .

Kwetu tumezaliwa watatu dada zangu wawili, wa kwanza alizaliwa miaka ya sabini ( R.I.P ) na huyu wa pili ambaye ndie point of discussion, alizaliwa mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1980. Ngoja niende moja kwa moja kwenye point, siku ya jumamosi iliyopita ( tarehe 27 APRILI 2013 ) saa nne kamili za asubuhi nilienda kumtembelea dada yangu ( ni msomi/ ana masters/kazi nzuri na miradi mikubwa/hana mume, mtoto wala sijawahi kusikia chochote kuhusu kuwa na rafiki wa kiume yaani boyfriend )...Nilienda pale kwa ajili ya kupiga mzinga kidogo na nilipanga kurudi hosteli ambako ninaishi siku iliyokuwa inafuata yani jumapili.

Mida ya saa sita mchana, aliwasili mdada mmoja ambaye ninamjua kama rafiki wa karibu wa dada yangu, tulisalimia kisha dada akaja kumpokea mgeni wake kisha wakaelekea ukumbini, baadaye nikarudi zangu chumbani kwangu na kuendelea kucheza na laptop yangu. Yalipita kama masaa mawili hivi mdada mwingine aliwasili nyumbani na kuingia moja kwa moja chumbani kwa sista ( sikujua kilichokuwa kinaendelea coz wakati huo nilikuwa chumbani, ila nilikuja kujua baadaye kwamba kuna mdada mwingine alikuja nyumbani pale ).

Nilikuja kustushwa baadaye na kelele za ugomvi mkubwa sana, zikitoka chumbani kwa dada yangu ambako nilisikia kelele, na matusi mazito yakiporomoshwa, vilio na chupa zikivunjwa vunjwa hovyo, sikuwa na jinsi nikaamua kukimbilia upande kilipo chumba cha dada yangu kutoa msaada. Kufika sikuamini kilicho tokea, nilimkuta dada yangu na yule dada mwingine ambaye nilikuwa namjua kama rafiki yake wakiwa kama walivyo zaliwa, wamelewa wanagombana na huyu mdada mwingine aliyekuja wakati mimi nimo ndani, huyu dada mwingine alikuwa anamshambulia yule dada aliyekuja mara ya kwanza na dada yangu alikuwa anajaribu kumzuia..

Kilicho nishangaza zaidi kuhusu dada yangu ni kwamba ana uume ( tena mkubwa tu kama uume wa mwanaume rijali, umesimama barabara na umevalishwa kinga ), mwanzoni nilidhani labda amevaa midoli lakini haikuwa hivyo, nii uume kabisa ( ambao haujatahirwa lakini ).. Nilicho kifanya ni kumtoa yule dada aliyekuja mwishoni hadi nje kisha nikarudi zangu chumbani kwangu....

Sikufanikiwa kuongea na dada yangu usiku huo hadi kesho yake but sikuongea chochote kuhusu kilicho tokea jana yake though aliniomba radhi kwa kilicho tokea but hatukuzungumzia kabisa kuhusu suala la yeye kuwa na jinsia mbili..Kusema ukweli suala hili linanikosesha sana raha na i dont know how will i cope with it.sitaongea na yoyote wala sitawauliza wazazi wangu but picha hii nitakaa nayo kwa muda mrefu sana, simuoni tena dada yangu kama nilivyo kuwa naumona before..

NAOMBA KUWAULIZA , HIVI HILI NI SUALA LA KAWAIDA KWELI KWA MWANAMKE KUWA NA JINSI MBILI NA ZOTE ZIKAWA ZINAFANYA KAZI ! AU NI KWA DADA YANGU TU? NAHISI LIKE ITS A KIND OF BADLUCK TO OUR FAMILY..PLEASE NIPENI USHAURI WENU

Stori yakutunga, kama ingekuwa kweli wala sidhani kama ungeandika maneno yoote hayo, wewe unauliza JF wakati umeshuhudia firsthand!!.. btw, hivi umesema ulikuta dada ana "mashine imesimama, tena amevaa condom" kitu ambacho ni ngumu kumeza!
 
Stori yakutunga, kama ingekuwa kweli wala sidhani kama ungeandika maneno yoote hayo, wewe unauliza JF wakati umeshuhudia firsthand!!.. btw, hivi umesema ulikuta dada ana "mashine imesimama, tena amevaa condom" kitu ambacho ni ngumu kumeza!

Hata mimi natamani ingekuwa stori ya kutunga
 
Sio shemale kaka, yeye ni HUNTHA ama Hermophrodite..she male ni wanaume wanao fanyiwa operesheni, hata w ewe ukiamua, unaweza kuwa shemale just go to Bangkok or Brazil...
Hao mkuu hua wanaitwa transexual
 
mimi ni dada ,actually ni mama!
amini nikwambiacho!
si kila tunaowapenda na kuwajali wanapenda namna yetu ya kuonyesa tunawapenda na kuwajali!wakati mwingine keeping away from some of stuff za tunaowapenda sana ndico kitu pekee wanacokihitaji kwa wakti huo!

Ni kweli Mkuu, llakini kuingia chumbani kuamulia ugomvi alikuwa sahihi kabisa, alichokiona ni bahati mbaya, mengine hapaswi kumuuliza dada yake kwani hakuttakiwa hata kuona alichokiona ni heri pretend hakuona! Na akimuuliza amuulize nini, ili saidie nini!
 
Badala ya kutoa ushauri you stick on lamentation kwa mtoa mada ameomba ushauri inabidi apewe kama huna ushauri tulia kimya.
 
Hao mkuu hua wanaitwa transexual

No transexual ni either mwanaume anabadili jinsia na kuwa mwanamke au mwanamke anabadili jinsia na kuwa mwanaume huntha wanazaliwa na jinsia zote
 
No transexual ni either mwanaume anabadili jinsia na kuwa mwanamke au mwanamke anabadili jinsia na kuwa mwanaume huntha wanazaliwa na jinsia zote
Sawa mkuu nimekupata ila hebu ingia kwenye mtandao gonga 'shemale' halafu uone kisha nielimishe mkuu.
 
Kiukwel haya matatiz ya kigenetics yapo,..n wht she posses ur csta wazaz wako wanajua kabs. What i thought despite the fact ana organ zote za reprdction, but one cant function! So ni vzr mkae kifmilia mjadil all of dis..coz every one havng lust,!!!!

Daaaah hii noma..mm huwa nasikiaga leo ndo nimeamini mazee
 
MAJIDAI ukienda kwa dadako tena muulize yeye ana-feel aje kuwa hivyo na kama she is fine with it YOU TOO SHOULD BE!

but all in all jus be supportive to her..usijifanye umeshtuka sana..we mtoto wa kiume!!!
 
Last edited by a moderator:
umesema dushelele ilivishwa kinga, na umesema dushelele haijatahiriwa, na ilikuwa usiku. Na hamkuwahi kujadili kuhusu jambo hilo. Swali langu: uliwezaje kujua kuwa dushelele iliyokuwa ndani ya kinga haijatahiriwa?
Kila hadithi ya kutunga, ni lazima utakosea
 
pole kwa mshtuko MAJIDAI
sidhan kam auna chakufanya zaidi ya kuwa jasiri nakumuomba Mungu akuepushie usijepata watoto wa hali hiyo.
Si unajua nawe bado ni kijana hujazaa.....huwezi jua ati!!!
 
Last edited by a moderator:
hili likisa la kubumba. Huyo mleta mada anajuaje ile kiungo ya kike ipo na inafanya kazi.
Je yeye alizaliwa ulaya asijue dada yake ana viungo viwili.
Lileta mada na lenyewe ni li 'shemale'
 
Back
Top Bottom