Dada yangu ana jinsia mbili

Dada yangu ana jinsia mbili

Habari zenu wana JF. Naomba kushare nanyi suala hili kuhusu dada yangu wa tumbo moja ambalo sikuwahi kulihisi, kulidhani wala kulijua kwa zaidi ya miaka 20. Kifupi mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23 ( Natimiza miaka 24 mwezi Juni mwaka huu ). Kwa sasa ninasoma mwaka wa mwisho katika chuo kikuu kimoja hapa nchini Tz .

Kwetu tumezaliwa watatu dada zangu wawili, wa kwanza alizaliwa miaka ya sabini ( R.I.P ) na huyu wa pili ambaye ndie point of discussion, alizaliwa mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1980. Ngoja niende moja kwa moja kwenye point, siku ya jumamosi iliyopita ( tarehe 27 APRILI 2013 ) saa nne kamili za asubuhi nilienda kumtembelea dada yangu ( ni msomi/ ana masters/kazi nzuri na miradi mikubwa/hana mume, mtoto wala sijawahi kusikia chochote kuhusu kuwa na rafiki wa kiume yaani boyfriend )...Nilienda pale kwa ajili ya kupiga mzinga kidogo na nilipanga kurudi hosteli ambako ninaishi siku iliyokuwa inafuata yani jumapili.

Mida ya saa sita mchana, aliwasili mdada mmoja ambaye ninamjua kama rafiki wa karibu wa dada yangu, tulisalimia kisha dada akaja kumpokea mgeni wake kisha wakaelekea ukumbini, baadaye nikarudi zangu chumbani kwangu na kuendelea kucheza na laptop yangu. Yalipita kama masaa mawili hivi mdada mwingine aliwasili nyumbani na kuingia moja kwa moja chumbani kwa sista ( sikujua kilichokuwa kinaendelea coz wakati huo nilikuwa chumbani, ila nilikuja kujua baadaye kwamba kuna mdada mwingine alikuja nyumbani pale ).

Nilikuja kustushwa baadaye na kelele za ugomvi mkubwa sana, zikitoka chumbani kwa dada yangu ambako nilisikia kelele, na matusi mazito yakiporomoshwa, vilio na chupa zikivunjwa vunjwa hovyo, sikuwa na jinsi nikaamua kukimbilia upande kilipo chumba cha dada yangu kutoa msaada. Kufika sikuamini kilicho tokea, nilimkuta dada yangu na yule dada mwingine ambaye nilikuwa namjua kama rafiki yake wakiwa kama walivyo zaliwa, wamelewa wanagombana na huyu mdada mwingine aliyekuja wakati mimi nimo ndani, huyu dada mwingine alikuwa anamshambulia yule dada aliyekuja mara ya kwanza na dada yangu alikuwa anajaribu kumzuia..

Kilicho nishangaza zaidi kuhusu dada yangu ni kwamba ana uume ( tena mkubwa tu kama uume wa mwanaume rijali, umesimama barabara na umevalishwa kinga ), mwanzoni nilidhani labda amevaa midoli lakini haikuwa hivyo, nii uume kabisa ( ambao haujatahirwa lakini ).. Nilicho kifanya ni kumtoa yule dada aliyekuja mwishoni hadi nje kisha nikarudi zangu chumbani kwangu....

Sikufanikiwa kuongea na dada yangu usiku huo hadi kesho yake but sikuongea chochote kuhusu kilicho tokea jana yake though aliniomba radhi kwa kilicho tokea but hatukuzungumzia kabisa kuhusu suala la yeye kuwa na jinsia mbili..Kusema ukweli suala hili linanikosesha sana raha na i dont know how will i cope with it.sitaongea na yoyote wala sitawauliza wazazi wangu but picha hii nitakaa nayo kwa muda mrefu sana, simuoni tena dada yangu kama nilivyo kuwa naumona before..

NAOMBA KUWAULIZA , HIVI HILI NI SUALA LA KAWAIDA KWELI KWA MWANAMKE KUWA NA JINSI MBILI NA ZOTE ZIKAWA ZINAFANYA KAZI ! AU NI KWA DADA YANGU TU? NAHISI LIKE ITS A KIND OF BADLUCK TO OUR FAMILY..PLEASE NIPENI USHAURI WENU

Dada yako ni Hermaphrodite ingawa katika hali yake jinsia iliyo active ni hiyo jinsia ya kiume, jinsia yake ya kike haifanyi kazi bara bara na ndiyo maana hujawahi kusikia kama dada yako ana boyfriend. Proof ya pili kuwa dada yako ame base kwenye jinsia ya kiume ni uwepo wa dada hawa wawili. Ikiwa angeingia mwanaume akawafumania kule chumbani basi tungesema kuwa jinsia zote mbili zinafanya kazi. Physicall ni Hermaphrodite lakini ana uke usiofanya kazi ipasavyo. Matiti aliyonayo yanamfanya akubali kuitwa ni dada yako vinginevyo inaonyesha angependa sana kuitwa KAKA.

Kwa upande wako nakushauri kuwa hili si jambo la ajabu wapo wengi wenye hali hizo tatizo kwao jinsia zao zote ziko dormant japo kwa ile ya kike inalazimishwa tu kutumika kama "uke"
 
Usihofu,inatokea mara chache sana na binadamu hawa wapo kabisa na hapa bongo landu wapo na mimi ni shaidi kabisa maana kuna jirani yangu alikuwa na mtoto wa aina hiyo ila alivyofikisha miaka 12 alipimwa homoni za kike na za kiume ikagundulika kuwa yeye za kike ndo nyingi zaidi na alifanyiwa operation, I don't how na uume ukakatwa akabakiwa na uke. Mwanzo huyu mtoto alikuwa penda kucheza na midume na mavazi yake ya kidumedume tu na alikuwa anapenda kuwa dume, katika kumdadisi alisema ktk michezo ya kitoto ya kujaribu kudu alisha "du" na mtoto wa kike.

Ila kilichotokea kwenu na kwa familia nyingi za kiafrika zinakumbana na matatizo haya ni
  1. 1 Hofu na aibu
  2. 2 Uelewa mdogo wa mambo mbalimbali
  3. 3 Uwezo mdogo wa kiuchumi
  4. 4 Huduma duni za Afya

Haya mambo ndio yanayotukwamisha, kwani kwa wenzetu walioendelea hiki si kitu cha ajabu, huwa ikitoke kuna vipimo maalumu vya kujua homoni za jinsia ipi ni nyingi kwa mtoto then from the beginning wana mwandaa mtoto kuwa ktk jinsia hiyo.
Nadhani wazazi wako waliona aibu so hawakuomba ushauri wa watu au uwezo wa kiuchumiulikuwa mgumu kwa ajili ya kufuatilia matibabu.
Hunahaja ya kuhofu wala kuumiza kichwa ni jambo la kawaida sana, ila huyo dada kama ni msomi kihivyo usemavyo atakuwa ameshajua yeye anafiti wapi, kwa maelezo yako atakuwa dume ila anashindwa kuiweka wazi ktk jamii maana wanajua yeye ni jike.

so itabidi akazibe ile shimo au ataendeleza kigawa dozi bila kuziba? akiwa kwenye ndoa huyu ni rahsi sana kucheat'
 
Alikuonyesha live? Ipi ina nguvu?

Wakati naamulia ugomvi walikuwa wa mnyama na ilikuwa imesimama, ni dushelele kama ya mwanaume kabisa tena inaweza kuwa inazidi dushelele za wanaume wengi tu
 
Mmh, pole zake kwa kweli
Ila kama haumwi hofu ya nini?

Sina hofu isipokuwa nimetaharuki tu kujua kwamba dada yangu yupo hivyo, i wish ningejua mapema zaidi
 
MAJIDAI pole sana kwa kujua siri hiyo tena bila kutarajia.

Nafikiri ni vyema kukubaliana na ukweli huo as hauwezi kuubadili. Kama hii habari ni kweli na dada yako ana jinsia 2.. Ni uumbaji wa Mungu na hata ukiendelea kushangaa na kutokuamini ni kazi bure.

Weka mguu wako ktk kiatu chake, unafikiri yeye alipenda awe hivyo. Pia unafikiri anajisikiaje hasa baada ya kaka yake kujua siri yake???

Pengine wazazi wako walifanya kila waliloweza kumsaidia ikashindikana either kutokana na mazingira yetu au hata matatizo ya kiuchumi hivyo hakuna wakulaumiwa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Yaani kwa kweli huyu kijana atakuwa anajisikia vibaya sana ktk hili, nimeshawahi kusikia watu wa hivyo. Ila nadhani kwa sasa ni too late hata ukipewa ushauri coz ushauri ulihitajika akiwa mtoto ili madaktari wampime na kumfanyia upasuaji kwa jinsia mojawapo, sasa ktk umri huo sina uhakika. Ila muone Dokta kwa ushauri zaidi wa kitaalam
 
Kaka hata mimi natamani ingekuwa simulizi

Basi pole. Na ukijikumbusha enzi za utoto wazazi walikuwa wanamchukuliaje? Ulishawahi kuhisi lolote pale unapowaona wazazi pamoja na dadakaka yako?
 
Hao wenye jinsi mbili wapo wengi kwenye jamii hapa nchini. Kuna lecturer mmoja yuko pale UDSM, ni mwanamke lakini ana uume pia. Huwa ni mtu wa masanga, wanywaji wa maeneo ya Mwenge na Sinza watakuwa wanamjuaa!!! Kwa hiyo MUJIDAI usihangae sana
 
Basi pole. Na ukijikumbusha enzi za utoto wazazi walikuwa wanamchukuliaje? Ulishawahi kuhisi lolote pale unapowaona wazazi pamoja na dadakaka yako?

Sikuwahi kuhisi chochote, ananizidi miaka tisa, so wakati naanza kujitambua alikuwa tayari ameshakuwa masichana
 
Sasa ww kibakuuma nn mdogo wangu we mwache hayo ni maisha yake. Cha msingi ww piga kitabu huyo dada yako kwa elimu yake aliyonayo inatosha kabisa kujitambuaa hapo alipo anafanya nn
 
Back
Top Bottom