Dada yangu ana jinsia mbili

Dada yangu ana jinsia mbili

Lakini kaka kwanini ujisikie vibaya? Yeye anaishi vizuri tena anakuzidi hadi unaenda kumpiga injection from time to time kwanini ujisikie vibaya? Anaishi na ana amani kubwa sana hadi amesonga kimaisha iweje wewe ujisikie vibaya jamani. Kubali hali na uchape mwendo mkuu.

Ila stori yako nayo mkuu! Sasa kwanza unasema kitu kilikuwa kwenye ndom, unajuaje kama hakijapigwa mkasi aisee, labda uliona 'kipele' cha ndom ndio ukahisi mkono wa sweta. Na pia we mkaka, hivi ugomvi wote huo hadi kuvunja chupa na mimatusi yote hiyo kweli bado itakuwa imedinda tu? Kweli mshtuko wote huo na kuchanganyikiwa na hayo yote bado kitu kiwe kimeenda winga tu?

Haya bwana.
 
Mara nyingi haiwi ana jinsia mbili yaani uke na uume, bali anakuwa mwanamke lakini ana dushelele. Hao wako kibao wala usijali. Lakini pia dada yako hana jinsia mbili ulichoona ni dildo wanavaa kiunoni, ndio maana ukaona kama imevishwa ndomu. Kwa hiyo dadako ni msagaji mzuri sana ndio maana anagombewa na amdemu wenzake.
 
umesema dushelele ilivishwa kinga, na umesema dushelele haijatahiriwa, na ilikuwa usiku. Na hamkuwahi kujadili kuhusu jambo hilo. Swali langu: uliwezaje kujua kuwa dushelele iliyokuwa ndani ya kinga haijatahiriwa?

kama ilikuwa ni mahakamani huyu jamaa ashafungwa kwa uongo, kitu kiko ndani ya kinga utajuaje kama ajatairiwa..
 
Huamini katika story. But unaamini kuwa shemales wapo? sawa?
Yaaani wana bahati sana nilitaka niwamwagie mapicha ya SheMale ndio wangeamini sasa hili Jukwaa sio lile la MK ngoja wakikua hawa wanafunzi wataingizwa na watazikuta kuliko kubishana nao na kuapata BAN
 
Mwambie aende kwny porn industry atapata mshiko mrefu sana
 
Hii itakuwa sio kweli kabisa na kama ni kweli usingekuja kuandika kwenye social Network una uhakika gani huyo unayesema ni dada yako hatumii Jf? Na ikiwa anatumia akisoma hii mada huoni utakuwa umejigombanisha na huyo dada yako? Acha kutudanganya wewe tumeshakua sasa umesikiaee kama vp kakojoe ukalale maana hadidhi uliyosimuliwa uje kutusimulia imekuwa nzuri na hujatujuza inatufundisha nini.
 
Mara nyingi haiwi ana jinsia mbili yaani uke na uume, bali anakuwa mwanamke lakini ana dushelele. Hao wako kibao wala usijali. Lakini pia dada yako hana jinsia mbili ulichoona ni dildo wanavaa kiunoni, ndio maana ukaona kama imevishwa ndomu. Kwa hiyo dadako ni msagaji mzuri sana ndio maana anagombewa na amdemu wenzake.

Sio dildo, its penis brother..dildo nazifahamu..am too old kushindwa ku differentiate kati ya dildo na penis brother
 
Hii itakuwa sio kweli kabisa na kama ni kweli usingekuja kuandika kwenye social Network una uhakika gani huyo unayesema ni dada yako hatumii Jf? Na ikiwa anatumia akisoma hii mada huoni utakuwa umejigombanisha na huyo dada yako? Acha kutudanganya wewe tumeshakua sasa umesikiaee kama vp kakojoe ukalale maana hadidhi uliyosimuliwa uje kutusimulia imekuwa nzuri na hujatujuza inatufundisha nini.

Ni mjanja, hawezi kugombana na mimi kwa sababu hiyo
 
kama ilikuwa ni mahakamani huyu jamaa ashafungwa kwa uongo, kitu kiko ndani ya kinga utajuaje kama ajatairiwa..

It seem u have got a very little understanding about dushelelez..Unaweza vipi kushindwa kujua kama imetahiriwa au haijatahiriwa kwa sababu imevalishwa kondomu?
 
Hakunaga kitu kma hiki alivaa towi

Sio toy kaka, matoy nayafahamu , kama ingekuwa ni toy si ningesema tu nimemkuta anasagana, but blv me, it was a real dushelele
 
umesema dushelele ilivishwa kinga, na umesema dushelele haijatahiriwa, na ilikuwa usiku. Na hamkuwahi kujadili kuhusu jambo hilo. Swali langu: uliwezaje kujua kuwa dushelele iliyokuwa ndani ya kinga haijatahiriwa?

Huyo anakastori kauongo
kwanza inaezekana ni yeye ndio mwenye matatizo
 
...ugomvi ulihusu nn? Kwa hiyo hapo kuna v2 vingi vya kukushauri, ikiwemo jinsi ya kumshauri sister aachane na usagaji pia usijal kila ki2 hupangwa na huwez kwepa na mungu alipanga ulifahamu hilo kwa njia hiyo, pili ilihali anaishi nakuomba achana na kuliwaza na maisha yasonge.

kama ni uweli, ina maana huyu dada siyo Msagaji anatumia nanii ya kiumbe kuwalamba hao wanawake. Na bila shaka atakuwa anawaridhisha vya kutosha.

MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Absolutely right



Hili linatakiwa kutolewa ushahidi na watu wawili. aliyemlala huyo dada na aliyelalwa na huyo dada



Huvi unaweza kumshudiaje dadaako hana mwanaume?

Plz kaka, ur a JF user for so long time,i dont think u dont understand what am talking about ..
 
Lakini kaka kwanini ujisikie vibaya? Yeye anaishi vizuri tena anakuzidi hadi unaenda kumpiga injection from time to time kwanini ujisikie vibaya? Anaishi na ana amani kubwa sana hadi amesonga kimaisha iweje wewe ujisikie vibaya jamani. Kubali hali na uchape mwendo mkuu.

Ila stori yako nayo mkuu! Sasa kwanza unasema kitu kilikuwa kwenye ndom, unajuaje kama hakijapigwa mkasi aisee, labda uliona 'kipele' cha ndom ndio ukahisi mkono wa sweta. Na pia we mkaka, hivi ugomvi wote huo hadi kuvunja chupa na mimatusi yote hiyo kweli bado itakuwa imedinda tu? Kweli mshtuko wote huo na kuchanganyikiwa na hayo yote bado kitu kiwe kimeenda winga tu?

Haya bwana.

Sijasikia vibaya isipokuwa nimetaharuki tu plus am so sory about her
 
Absolutely right



Hili linatakiwa kutolewa ushahidi na watu wawili. aliyemlala huyo dada na aliyelalwa na huyo dada



Huvi unaweza kumshudiaje dadaako hana mwanaume?


U cant be serious brother
 
Dada yako ni Hermaphrodite ingawa katika hali yake jinsia iliyo active ni hiyo jinsia ya kiume, jinsia yake ya kike haifanyi kazi bara bara na ndiyo maana hujawahi kusikia kama dada yako ana boyfriend. Proof ya pili kuwa dada yako ame base kwenye jinsia ya kiume ni uwepo wa dada hawa wawili. Ikiwa angeingia mwanaume akawafumania kule chumbani basi tungesema kuwa jinsia zote mbili zinafanya kazi. Physicall ni Hermaphrodite lakini ana uke usiofanya kazi ipasavyo. Matiti aliyonayo yanamfanya akubali kuitwa ni dada yako vinginevyo inaonyesha angependa sana kuitwa KAKA.

Kwa upande wako nakushauri kuwa hili si jambo la ajabu wapo wengi wenye hali hizo tatizo kwao jinsia zao zote ziko dormant japo kwa ile ya kike inalazimishwa tu kutumika kama "uke"

Hermaphrodite , wanaweza kubeba mimba au wanauwezo kumpa mtu mimba??
 
Back
Top Bottom