Kwani wewe upo mkoa gani.???Ipo wapi hiyo mkuu?
Asante kwa ushauri wako mwema[emoji120]ana matatizo makubwa matatu madeni,stress na ulevi hayo madeni ndiyo yanamletea stress akipata stree anaamua kunywa pombe kiukweli kwanza anahitaji kukubali kuwa ana tatizo akishakubali itakuwa rahisi kumsaidia pia inaelekea hana marafiki wazuri rafiki pekee aliyebaki ni wewe ndugu yake jaribu kuwaona wataalamu wa magonjwa ya akili ili wajue namna gani ya kumsaidia
Nitachukua hatua mapema, maana nazidi kuogopa tu hapaHatsla yule aliyejiua kule Moshibkwa kufiwa na mama yake na kisha kupigia simu ndugu zak walioishia kumwambia kuwa anatishia, walimkuta kwenye kamba. Same kwa aliyejiua Dodoma kwa kufeli.Je bado una jeuri ya anatishia?
Kweli umenena, asante kwa ushauri wakoMmh ngoja nisimlaumu sana kwenye matumizi ya mkopo
1. Apatikane ndugu Wa kumchukua Mtoto
2. Dada yako anahitaji counseling ya nguvu,anaweza kurudi normal
3. Na hizo plots mbili alizonunua zinaweza kutatua tatizo pia
Asante sana nitanyia kazi ushauri wakoMi naona hiyo mill 10 haitishii sababu anakatwa kwenye mshahara na n mwajiriwa tatizo kinachomchanganya n hayo madeni ya nje na hizo pombe alizokuwa ananywesha wenzio duh ...kama upo mbali nae nenda mkaonane live umshauri ana kwa ana may b atakuelewa mwambie kuna watu wana matatizo zaidi yake narudia tena zaidi yake ye alirelax tu ...hata bibi yangu alikunywaga sumu sababu ya madeni ila alipona hadi Leo anadunda smtym matatizo yanaweza yakakufikisha mbali sana ..ila huyo kama vile kachanganyikiwa kutaka mkumchomea nyumba mwenzie huko tabata duh mpeleke akaombewe ...(japo najua atakataa) pole dia hizo n changamoto
Sasa si auze kiwanda!?Ni mfanyakazi serikalini, yupo mwaka wa 15 kazini.