Dada yangu kapendeza leo baada ya kurudi salon!

Haaaa kweli kapendeza!, lakini sijaelewa huo msuko ni wa upande upi kati ya Shetani na Mungu?. Dada zetu hatari sana!, hata mavi yangekuwa yanatoa harufu nzuri nadhani wangekuwa radhi kupaka kichwani. Ha ha haaaaa!, uko wapi my wf to be? ha ha haaaa!
 
Mmhh sasa hivyo alivyosuka wakati wa Showtime's anakaaje ili asiharibu nywele..maana wenginde ata akikaa ule mkao pendwa wa yule mnyama kagoma lazima washikilie hizo nywele kama kamba za farasi ili kuongeza speed
 
Huo mzigo kichwani kwangu hapana aise
Yaani huyu wakati wa kulala itabidi avae helmet ili nywele zisivurugike, hapo ni kulala tu, sijui wakati wa kulalwa itakuaje na kma yupo Dar na joto hili basi kazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…