Dada yangu na Poti Hamisa Mobeto ni lini utatuletea Shemeji yetu Azik K Mkoani Mara (Musoma) ili ale Kichuri na afundishwe pia kuwa na Hasira Kali?

Dada yangu na Poti Hamisa Mobeto ni lini utatuletea Shemeji yetu Azik K Mkoani Mara (Musoma) ili ale Kichuri na afundishwe pia kuwa na Hasira Kali?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu ilikuwaje katika Harusi yako ukanisahau kabisa Kunialika Mimi Kaka yako kutoka Mkoani Kwetu Mara kwa Wababe?

ANGALIZO

Tafadhali ukijijua Wewe ni Mhaya, Mnyaturu, Mrangi, Mnyiramba, Muha, Mnyamwezi na Mkara kaa mbali na huu Uzi Okay?
 
Mwanaume mzima unataka mwanaume mwenzio awe na hasira kali 😂 hizo hasira hazitumie vp kwako?
 
Halafu ilikuwaje katika Harusi yako ukanisahau kabisa Kunialika Mimi Kaka yako kutoka Mkoani Kwetu Mara kwa Wababe?

ANGALIZO

Tafadhali ukijijua Wewe ni Mhaya, Mnyaturu, Mrangi, Mnyiramba, Muha, Mnyamwezi na Mkara kaa mbali na huu Uzi Okay?
Hivi namba zako ni hizi 0688255974 na 0783657519?
 
Halafu ilikuwaje katika Harusi yako ukanisahau kabisa Kunialika Mimi Kaka yako kutoka Mkoani Kwetu Mara kwa Wababe?

ANGALIZO

Tafadhali ukijijua Wewe ni Mhaya, Mnyaturu, Mrangi, Mnyiramba, Muha, Mnyamwezi na Mkara kaa mbali na huu Uzi Okay?
Sipo katika hayo makabila uliyoyataja ila tangia nakuwa nasikiaga wakurya wana hasira kali , hivi ni hawa hawa wnaoimba taarabu na kuuza mayai au wakurya wapi?
 
Halafu ilikuwaje katika Harusi yako ukanisahau kabisa Kunialika Mimi Kaka yako kutoka Mkoani Kwetu Mara kwa Wababe?

ANGALIZO

Tafadhali ukijijua Wewe ni Mhaya, Mnyaturu, Mrangi, Mnyiramba, Muha, Mnyamwezi na Mkara kaa mbali na huu Uzi Okay?
Nataka kumtahiri upya
 
Back
Top Bottom