Dada yangu na Poti Hamisa Mobeto ni lini utatuletea Shemeji yetu Azik K Mkoani Mara (Musoma) ili ale Kichuri na afundishwe pia kuwa na Hasira Kali?

Dada yangu na Poti Hamisa Mobeto ni lini utatuletea Shemeji yetu Azik K Mkoani Mara (Musoma) ili ale Kichuri na afundishwe pia kuwa na Hasira Kali?

Halafu ilikuwaje katika Harusi yako ukanisahau kabisa Kunialika Mimi Kaka yako kutoka Mkoani Kwetu Mara kwa Wababe?

ANGALIZO

Tafadhali ukijijua Wewe ni Mhaya, Mnyaturu, Mrangi, Mnyiramba, Muha, Mnyamwezi na Mkara kaa mbali na huu Uzi Okay?
Aje afundishwe kuacha kulialia.

Hahahah.
 
Back
Top Bottom