Dada yetu anaishi na Virusi vya UKIMWI, tumwambie ukweli mchumba wake?

Hizi Imani za wageni sisi hatuziwezi maana sifa yetu kubwa ni unafiki.

Kijana wa watu huenda anatafuta faraja lakini atakachoambulia ni kinyume chake. Watu husema taarifa sahihi humsaidia mtu kufanya maamuzi sahihi. Mwambie ukweli shemeji yako. Hata kufumbia macho uovu ni UOVU.
 
Mkuu umepata nafasi ya kuokoa uhai wa mtu..Jaribu kuitumia
 

Nimependa unakunywa chai ya laki mbili.
Duuh gharama kweli
kifo kileee.
Mhh qwikwiii ...
Aisee ww shmj hahaaaa qwikwiii lunch yako sh ngapi ?. ...
Qwikwiiiiii.
 
Kwa jinsi sisi vijana ambavyo hatujielewi, lazima huyo dada yako amepigwa pipe za kutosha kabla hata hawajatambulishana.
 
Hiyo dhambi itawagharimu na kuwatafuna waache waendele kupokea na hela za Chai....
 
Kwakuwa ni walokole labda hawaja chakachuana bado ila swali wataowanaje bila kujua status yao. kwa sisi madhehebu yetu lazima kwenda kujua afya kabla ya ndoa na uthibitisho unapelekwa. sasa sijui hao wapendwa ila ni muhimu kumjuza jamaaa mkiwa mshamweka sawa dada yenu kuwa jamaa tunamwambia ukweli au amweleze mwenyewe
 
laws of contract ACT of parliament 2002 *ap1 section 1 para 1 ,h,b,e
zinajibu tatizo lako.
 
Halafu ni kweli kabisa sawa za ARV zinafanya watu wanameremeta sana... nna mifano hai kwa watumiaji hakika kama ni mwanamke lazima wezere litokeee. chezea ARV wewe
 
Nadhani hukuwa na nia thabiti ya kuliepuka hili na kumwepusha huyo shemejio mtarajiwa. Itakuwaje mpaka jamaa analeta mahari bado wewe na Nduguzo mmekaa kimya? Kwani mlikuwa hamjui? Haya mmeshabugia hiyo pesa eti bado unasifia Dadako Muathirika kuwa ana TAKO badala ya kumkataZa asiingie kwenye mahusiano na mtu ambaye hajui status yake huko ni Directly unashiriki kwenye UMAUTI wa Shemejio mtarajiwa
 


Watu siku hizi wame elimika sana. Wanajua kuwa mnene sio kipimo cha afya.
 
Hii chai kabisa

halafu muanzisha mada kila siku unakuja na chai mpya
eti mahari tushakula kabisa,mara barua upokee wewe huku baba yako yupo
cc BADILI TABIA

Usisahau pia kuwa kwenye hiyo mahari baba hakupata mgao,wamegawana 'makaka' Amesahau kuwa "Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu"
 
Last edited by a moderator:

Unamaanisha nini kwa kusema, 'huwa wana vinyongo sana' ?
 
Unamaanisha nini kwa kusema, 'huwa wana vinyongo sana' ?

Wapo ninao wafahamu wengi wakutosha kusema hivyo. Inawezekana si wote ila wengi wao wako hivyo. Uangalifu mkubwa unahitajika kuishi nao. Mfano ni kama huo nilioutoa hapo juu.

Sina maana ya kumkwaza mtu lakini. It is what it is i know.
 
Jambo la msingi hapo mshauri wakapime wote hata kama washavuana chupi itakua salama kwako na kama ni dhambi utakua umejivua. We ukimweleza kwa sasa haitasaidia kama keshaambukizwa atataharuki. Waende watapewa canceling wataoana na wanaweza kupata mtoto. Wakapime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…