Dada zangu hii style ya mapenzi ni hatari, unaweza muua mpenzi/mumeo kwa raha

Hadithi kama kitabu cha kusadikika cha shaban Robert au wwe don't try this on ur bed hivi kg 50 au 60 zifungwe kwny fan labda huyo mwanamke ana hama ya kuonana na malaika live
 
Watu huwa wanawaza mambo mengi sana mengine ni yaajabu sana ukifanikiwa kujua watu wanachowaza unaweza kustaajabu sana
Lakini sio mbaya huyu jamaa inavyoonekana alikuwa amelala chali akaona feni akapata hiyo idea ikabidi atushirikishe
Kila kitu nadhani huanzia na mawazo na hata mambo mazuri hutokea hukohuko
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€huyu mtu hajawahi kuniacha salama
 
Duu, hatarious sana! Don't Try this anywhere...
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23]
 
Hi vi wewe gudume kweli ulizaliwa miezi Tisa tumbo ni kwa mama ya Au miezi ilipitiliza hadi mwaka??

Kuna Uzi ulisema una kibamia je hii style utaweza si kitachomoka?
 
Manjonjo yana raha yake kuikatikia kwa staili... Mbele nyuma kushoto kulia duara speed sio lazima afu inachosha haraka

Wakati huo mwanaume nae atakosa balance ya kukusearch kila engo


Cc Smart911
 
huyu jamaa leo ndo nimesoma post yake, nimecheka sana.
 
Dah! Kwel Jf raha sana. hili tena balaa gan uyo dada akitoka hapo lazima physics itumike ili akae sawaa. Maana lazima wamutafutie speed, velocity,momentum,force,volume,heart,Energy
 
Yaani hapo dyudyu zitachemka hadi mtais mmechochea moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…