Dada zangu hii style ya mapenzi ni hatari, unaweza muua mpenzi/mumeo kwa raha

Dada zangu hii style ya mapenzi ni hatari, unaweza muua mpenzi/mumeo kwa raha

nonsense...... mapanga ya feni yanaweza kuhimili uzito hata wa mtoto ? achilia mbali mwanamke ? mda mwingine sio lazma uanzishe thread kama huna cha kushea..... f....ck u
 
Haha ha yan we umelala hapo geto unaona jinsi feni inavyozunguka ukaipigia mahesabu una weza itumia vp kingono ndo ukawaza hu ushenzi then unatudanganya kunadada kakusimulia
 
Feni haina nguvu ya kuzungusha mwili wa mtu.

Ile feni hata ukiifungia kg 10 ni ngumu kuzungusha..

Hii kitu Haiwezekani kabisa..
 
Uongo mwanamke lazima apate kizunguzungu acheni uongo
 
Mleta mada itakua amechakazwa na jemba kwa style hiyo
 
Du! Mi cjaelewa, si kama drilling machine?
 
GuDume ndugu yangu,unapaswa kuanzisha chuo kikuu cha utafiti...,umenichekesha sana!
 
kuna dada mmoja alikuwa anasimulia anasema kuna style ya mapenzi ambayo ni balaa..hii inawezekana kwa wale wadada ambao hawana uzito mkubwa sana.

anasema namnukuu " mwanamke unatakiwa usiwe na uzito wa ng'ombe.uwe na uzito wako wa wastani wa mbuzi au kondoo. unapokuwa na mtu mpenzi wako chumbani kwake au kwenu basi kuwe na feni ile ya juu. then bint unaweza shika mapanga mawili ya ile feni au kama ipo juu sana basi unafunga kamba ambayo unakuja ishika huku chini. wakati huo mpenzi wako anakuwa amelala chali. yupo standby.

basi mpenzi wako anaenda kuwasha feni kwa speed ya kawaida tu hasa namba moja na mbili. ile feni inapozunguka basi nawe mwanamke unazunguka then jamaa anafanya timing anaingiza anasema hapo feni inakuwa imesha gain momentum..so unazunguka huku machine ikiwa ndani kwa speed ya ile pangaboi"

anasema hapo mwanaume anaweza maliza double double hata mara 5 maana ni balaa...joto analopata na wewe mwanamke unalopata mnaweza jikuta siku hiyo hamtoki ndani. nilishangaa sana ubunifu huu wa waafrika hasa dada zetu kipindi hiki ambacho inasemekana kuna ukata.basi nao hawajabaki nyuma. najiuliza hivi hii mtu unaweza jaribu ukabaki salama?fikiria ile feni inavyozunguka halaf ndo iwe imefungashiwa kwenye mashine yako mwanaume....
[emoji23] sidhani kama iyo kitu Iko practical
 
Ubunifu mwingine naweza jikuta navunjika kiuno bure kisa kutoa bao tuu..

Nitaendelea na staili nyingine kama kifo cha mende, chuma mboga, 69, popo kanyea mbingu n.k...
Mkuu,Popo kanyea mbingu na 69 mikao yake inakuwaje?
 
Back
Top Bottom