Hazina kitu!
Zinapovaliwa ni sehem Nyeti...ukitzama hzo nguo ni rahisi kujenga hisia ya sehem yenyewe.
ex: mtu unaemheshim mtu mzima...akianika suruali au shati haitakushangaza...lakin c.h.u.p.i yake ukiiona ukweli utajhsi aibu.
Ni hivyo tu!
Vise versa!!!
ah maalim unajua kujenga hoja,ni kweli lazma utawaza kojoleo,
Ni vizuri chupi zianikwe juani, zipigwe jua zikauke kwa ajili ya afya ya mvaaji. Zisipokauka vizuri mvaaji mwenyewe ndio ataenda pharmacy kununua dawa na kujiuguza. Sasa ya nini kuogopa watazamaji mpaka mtu uweke chupi ndani?
kwani zina shida gani hizo nguo, zinavaliwa wapi pasipojulikana?kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
Hoja yako ni nini? UKO KWA WATU...fanya lilokupeleka!!!kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
zinatakiwa zipate upepo.....zikifichwa sana hazitakauka...mwisho zitaleta fungus
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
ulitaka zianikwe kwenye kamba uan?nyumba ya kupanga mpo wapangaji 6 then we vnasa vyako wavianika nje pale taahh ahh asi watakuimba kwenye midundiko..ohh bib yule chup lake kubwa lina matobo kati...
mazngra bwana bt km wameanika chumban kwao nipoa au ulitaka waanika wap>?na wee mtoto wa kiume ni umbea unakusumbua macho ppep pepe vyumban kwa wadada yahusu?km ulienda kuomba madesa tulia upewe we macho juu ju km watengeneza balbu?😱:embarrassed:😱!!!!!
Africa kama ulaya tunasahau maadili yetu kama Mwafrika.
Si wengine tuna aleji na chupi za kike hata tukiona shop tu aleji inapanda kwa nn msiweke kabatini jamani au ndo show off kuonyesha una michupi mia moja?
Si wengine tuna aleji na chupi za kike hata tukiona shop tu aleji inapanda kwa nn msiweke kabatini jamani au ndo show off kuonyesha una michupi mia moja?
we bwan vp ?
so chup ianikwe kabatn jaman?
ntaanza kukufundsha SAYANSI KIMU JUU YA UFUAJI NA UANIKAJI WA NGUO ZA NDAN...staitaj ada ni wewe tu somo bure maswali utalilipia..
Hahaha mama big mi sina aleji ya kunusanusa nina aleji ya kuona nikiona tu balaa alafu Rose mi nipo dawa ya aleji lakini hii ni sababu ingine tena ya kuongeza bia asbh.