Hazina kitu!
Zinapovaliwa ni sehem Nyeti...ukitzama hzo nguo ni rahisi kujenga hisia ya sehem yenyewe.
ex: mtu unaemheshim mtu mzima...akianika suruali au shati haitakushangaza...lakin c.h.u.p.i yake ukiiona ukweli utajhsi aibu.
Ni hivyo tu!
Vise versa!!!
ah maalim unajua kujenga hoja,ni kweli lazma utawaza kojoleo,