Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?

Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?

Mtoto analainika kama mbuzi mbele ya chatu ani! Ni kukamata likifuno na kulipea kindepa ani ile kibabilon sana!

Mtoto anacheka cheka tu baada ya show ni kalii!
Ma Nice guys wanafeligi sana wao wakikutana na watoto kike wanabadilisha hadi sauti et madai yao wanakua romantic ..

Sasa hiyo hali inawachosha watoto wa kike coz wana feel kama wako na wanawake wenzao
 
Watu humu wanachanganya Sana maana za UHUNI....kwa sasahivi Kuna maana na aina tofauti za UHUNI inategemea umetumikaje na wapi na kwa nani.

Ila hizi maana nyingi zimekuja sasahivi zamani chimbuko MUHUNI ni mtu anayefanya matendo maovu yasiohitajika kwa jamii Kama kupora watu, kujeruhi na siraha, kuonea watu, kifanya vurugu....hivi vyote anafanya muhuni kwasababu ana sifa ambayo hajari, haogopi na afagirii mtu pia Hana Cha kupoteza.

Kwasasa Kuna neno uhuni au MUHUNI linatumika Kama mbadala la neno MSERA ikimaanisha Jamaa fulani Hana mitikasi ya kike Kama umbea, unafiki, anajari yake nk mfano ofisini Kuna yule jamaa unaweza kumwambia nataka kuacha kazi atsema Good Idea na imeisha hio hamwambii mtu coz anaona si busiy yake don't give a https://jamii.app/JFUserGuide huyu ni muhuni, ila ukimwambia mwengine linamfurukuta.

Aina nyengine ya uhuni anayozungumzia mtoa mada ni ya lifestyle ngumu kuielezea ila mtaani wako wengi lofesty fulani mfano kwa wasanii unaweza sema Conboy, Nyandu nk nadhani umeelewa....ila life style hii ya kihuni huwezi pata kila demu utapata tu mapisi kali ila sio mademu ambao wanajielewa tutolee mfano wasanii mfano ngumu kumpta Kama Joketi, Kama yule mtoto wa kajara utampata
 
Ulitaka wakupende wew tu
Mapenzi yaachwe yalivyo ukidhani nguvu znasaidia,kuna mtu anapendwa na anagandwa hata hana hzo nguvu
 
Kuna kaka mmoja wenzie wanamwambia ameokota dodo kwenye mwarobaini na mimi huwa naambiwa nimerogwa sio bure. Kwanza anavuta majani ile mbaya, kipato chake anaaford kula kwa siku kutokana na kazi yake. Lakini ndio nimekufa nimeoza kila mtu anatamani kujua sababu ila hata mimi sijui.
Sawa,nashukuru kwa kunizimikia,na utaoza kweli hadi uanze kunuka.
 
Wanawake wanapenda ngono za rough, mixer kuchaniwa bikini. Kwahiyo fantasies zao ziko kwa wanaume wahuni..

Which means wahuni wanapeleka moto kihuni kweli kweli....

Wewe na likitambi lako kutwa kuchomekea mashati ati unajiita gentleman....
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hapo ninapokaa kuna washikaji wanafeki sn maisha,mara wakale chakula mlimani city.kuna bar hapo kijichi turn up,kingazi na gateway kila siku wanabadilisha Tu utadhani sungusungu wanafanya doria.Juzi Tu hapo demu wa mshikaji kaja kuniomba nimtafutie kazi bwanake,nikamjibu bwanako mwenyewe laini Yule ataweza kazi ya ukuli bandari? Akajibu aka mume wangu hapendi kazi ngumu,nikamwambia haya endeleeni maisha yenu ya show off me muhuni sina habari wala nn

Wana hawana maisha lakini wanajitutumua sn..washikaji laini Kama wale madogo wa bongo Flava wa kuitwa mabantu[emoji1787]

Kila nikijilazimisha kwenye kampani zao tunakuwa mafuta na maji..sipendi kufeki maisha kbs
miss pablo km vp nipe mdogo wako atafurahi [emoji1787]
We ni mjinga kumbe gazet lote hili unaomba k kwa miss Pablo
Eti na wewe muhuni? Labda muhuni mavi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nyinyi mnaojiita masharobaro kazi yenu ni kuagiza chipsi mdebwedo zenye mayonaizi nyingi pale Kwa Mayweather chipsi ..kuvaa nguo za kike,kuweka breach kichwani na kulamba lipsi km paka aliyepigwa mwiko mdomoni..kitandani hamna maajabu yoyote zaidi ya kimoko chali

Upande wa pili watoto wa kihuni hawanaga mambo mengi wao wanafocus kwenye kupeleka Moto Tu Hadi mtoto anakimbilia kujibana ukutani Kwa nn wasishobokewe?

Kuna demu mtaani ana mabwana watatu;mmoja ni Hb sharobaro wa kuuza nae Sura kwenye mitoko ya Cheka Tu mlimani city na kidimbwi beach,wa pili ni sponsor wa kutoa mitonyo na watatu ndy huyo uliyemuanzishia uzi_muhuni mmoja hivi ana kovu la wembe upande wa kushoto wa shavu.. Mzee wa kufanikisha mission mzima ya kitandani iliyowashinda hao wawili

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nimecheeeeka jamani, wahuni wanapiga show mamaeeee, kuna muhuni mmoja enzi izo niko advance anakwambia ummnyonye koni huku anavuta ile kitu kubwa, akimaliza hapo iyo show utaomba poooo
 
Hahahahahah bad boys wana taste yao ya pekee na wengi ni humorous n funny to be around! Kikubwa wana misimamo flani ambayo wanawake wengi ndio hupenda kwa mwanaume [emoji28] yani ile amri sio ombi ndio mwendo wao. Na moto wanapeleka kweli yani!
Muhuni wangu alinambia saa kumi nikukute ndani yaani uwe ushatoka tuition nina tukio na wewe mi si nikamletea pigo za kike nikatimba geto saa kumi na mbili maji niliyaita mma
 
Wahuni watu poa Sana , akiwa na wewe atahakikisha unammiss tuuu, lazma ataacha alama kwa maisha yako, ile umri unaenda unaona kabisa msela hawezi nioa lazma niangalie upande wa pili ila kiuhalisia ni watu poa Sana ......popote ulipo P nakumiss walahi
 
Skia mleta mada ukitaka kuwaelewa wanawake kwa namna unayofikiri utapotea ww elewa mwamba anakubalika kwa matendo yake ya kishujaa demu hakugandi kama haumipi pipe vizuri sasa ww endelea kusema hana hela anavuta sigara utafeli ww piga pipe hata kama ni kilema madem watakupenda tu
 
Nimecheeeeka jamani, wahuni wanapiga show mamaeeee, kuna muhuni mmoja enzi izo niko advance anakwambia ummnyonye koni huku anavuta ile kitu kubwa, akimaliza hapo iyo show utaomba poooo
Cheka mrembo uongeze siku.

Alafu si uje pm nione hiko kishingo chako ikiaezekana nimrithi huyo muhuni P..

Wahuni tuko vizuri Sana.
 
Wakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?

Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana yaani ghetto kwake mezani amepanga sigara.

Halafu kuna siku alimleta demu akampiga baadae aakaanza kuvuta sigara mbele ya demu lakini demu mkali akawa anacheka cheka hadi leo kamganda jamaa,

Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?

Labda na wewe ni Dada wa mtu, kwa nini unataka jua mambo ya wadada?
 
Wakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?

Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana yaani ghetto kwake mezani amepanga sigara.

Halafu kuna siku alimleta demu akampiga baadae aakaanza kuvuta sigara mbele ya demu lakini demu mkali akawa anacheka cheka hadi leo kamganda jamaa,

Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?
Shida nipale mnaojifanya wastaarabu umekaa na mpenzi wako lakini unajiweka kama umekaa na Mama mkwe wako mwanamme mzima ukaa na mu-penzi utazani umekaa na Mwl wako wa hesabu [emoji3][emoji3][emoji3] acha wahuni wafurahie.
 
Back
Top Bottom