Dada zangu ni vizuri kama mkiyafahamu haya

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hahahaha,,wewe itabid utulie kwanza coz unataka watunza mwili,,ila sisi ndio tukoooooo
Sio lazima iwe watunza mwili, ila Mm nataka ioshwe tuu
 
mi mwenzio mpita njia sasa hapo kwenye kufa na kuzikana sijapaelewa
Hii njia hua hawapiti,hapa ni kama Kigoma mwisho wa reli,wewe mwenyewe utaghairi kupita,utaweka kambi mpaka pale nitakapo kukumbusha kua upo safarini baby utachelewa,

πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…