eeh! ni wadaslamu, huyo jamaa alimkula huyo mwanamke na mtoto wake (kuku na mayai)Mkuu,hao kwenye hiyo picha uliyoipost,ndio ni kina nani wao huko Daslam?
Tapeli weweBusara ndio utamaduni wangu π
Mtoto wa mtu ajichanganye hapo ππBusara ndio utamaduni wangu π
N furaha yangu kuwaona waalimu wakiajiriwa ndio mana hua nawasaidia πTapeli wewe
Kawasaidie walimu kutuma maombi kule ajira portal
Ntake radhi mkuu πMtoto wa mtu ajichanganye hapo ππ
Sasa h umefunga pmKuna nini? Mods wamenirudishia id yangu pendwa km kuna mtu ana shida na mimi anitafute kwa hii.!!