Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
INASEMEKANA:
_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.
*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.
_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.
*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:
1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.
2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.
Wanabaki wanaume bilioni 1 tu 😂 .
3. _*Milioni 500 hawana kazi.
4. _*Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.
5. _*Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.
6. _*Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.
7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.
*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.
_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.
*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.
_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.
*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:
1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.
2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.
Wanabaki wanaume bilioni 1 tu 😂 .
3. _*Milioni 500 hawana kazi.
4. _*Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.
5. _*Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.
6. _*Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.
7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.
*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.