Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

Aahahahahahaaa sawa Nsumba Ntale 😊.

Guluguja ndo funza? Simjui mie guluguja ndo nani?😜.
Basi nakuja mwenyewe kukuonesha tofauti ya guluguja, kiwavi jeshi, jongoo na chatu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Basi nakuja mwenyewe kukuonesha tofauti ya guluguja, kiwavi jeshi, jongoo na chatu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Aahahahaa my ribs.....🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Am pounding πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Naunajua Kasinde ana sauti ya kumtoa chatu/nyoka/jongoo pangoni.....πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Karibu sana Ntale Nsumba 😊.

Ntakupoke na bakuli la karanga na asali upoze uchovu kwanza kabla ya kunionesha guluguja aahahahahaaa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.
 
Ujumbe wako ni mzuri sana lkn Kwa Sasa wamezidi
 
Acha kuegemea upande mmoja waambie na hao wateja nao wanadanga acha kuwa mbinafsi kuegemea upande wa wakina dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…