The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Na wewe hua unakojolea makopo?umekalili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe hua unakojolea makopo?umekalili
kabla uliandikaje?Na wewe hua unakojolea makopo?
Haikua yako.kabla uliandikaje?
duh sawaHaikua yako.
Duh bado unaishi karne ya 18.Hii tabia ya dada zetu wawapo chumbani usiku wakishikwa na haja ndogo unakuta wanajisaidia kwenye makopo Kisha asubuhi wanapishana kwenda chooni kumwaga kojo lao sio sawa na ni kero, leo ilibaki padogo nioge kojo baada ya dada mmoja kutaka kumwaga wakati mimi niko uko faraghani, kama mnahogopa kwenda chooni usiku wa ma8 si muamshe waume zenu wawasindikize!, na nyie singles tubadilishane number muwe mnatupigia tuwasindikize basi.
Utakuwa umezaliwa juzijuzi mwamba! Utamaduni wa enzi na enzi huo! Zamani nilikuwa nafikri ni utamaduni wa kijijini tu lakini nilipofika mjini miaka ya 80th nikakutana na wamama wenye mazululu!Hii tabia ya dada zetu wawapo chumbani usiku wakishikwa na haja ndogo unakuta wanajisaidia kwenye makopo Kisha asubuhi wanapishana kwenda chooni kumwaga kojo lao sio sawa na ni kero
si jana ulisema ivyo?Daaah aiseee tangu lini nimekuwa fundi 😊😊😂😂
Hiiii mbona sikumbuki nilikuambia wapisi jana ulisema ivyo?
mbona umenichunia leoHiiii mbona sikumbuki nilikuambia wapi
Aaaaah hamna sema mchana mambo yalikuwa mengi kidogo ngoja niangalie umesemaj kule 😊😊mbona umenichunia leo
muoneAaaaah hamna sema mchana mambo yalikuwa mengi kidogo ngoja niangalie umesemaj kule 😊😊
Na saivi ushakuwa senior member bado kidogo uanze kulipwaaamuone
wakulipwa nitakuwa mimi?Na saivi ushakuwa senior member bado kidogo uanze kulipwaaa
Hujui tunalipwagawakulipwa nitakuwa mimi?
ache nilale
Wapi huko mkuuHii tabia ya dada zetu wawapo chumbani usiku wakishikwa na haja ndogo unakuta wanajisaidia kwenye makopo Kisha asubuhi wanapishana kwenda chooni kumwaga kojo lao sio sawa na ni kero, leo ilibaki padogo nioge kojo baada ya dada mmoja kutaka kumwaga wakati mimi niko uko faraghani, kama mnahogopa kwenda chooni usiku wa ma8 si muamshe waume zenu wawasindikize!, na nyie singles tubadilishane number muwe mnatupigia tuwasindikize basi.
nigawie na mimiHujui tunalipwaga
Kwa Mnyamani mkuu.Wapi huko mkuu