Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaah usijali jambo dogo sana hilo 😊😊nigawie na mimi
nipo nasubiriAaaaah usijali jambo dogo sana hilo 😊😊
Hama huko mkuuKwa Mnyamani mkuu.
Kodi yangu haijaisha.Hama huko mkuu
Aaah aiseee sasa itakufikiaje??😂😂nipo nasubiri
Mbali na wapi?Vyoo kujengwa mbali ndio tatizo.
Na wanapolaza ubavuMbali na wapi?
Kwahiyo Ubavu, kinyec na kojo vyote vilale pamoja mkuu?Na wanapolaza ubavu
Sio tatizo kama haviwakeri ninyi majirani na mnajua kutofatilia yasiyowahusu...Kwahiyo Ubavu, kinyec na kojo vyote vilale pamoja mkuu?
Kwa kweli ni keroHii tabia ya dada zetu wawapo chumbani usiku wakishikwa na haja ndogo unakuta wanajisaidia kwenye makopo Kisha asubuhi wanapishana kwenda chooni kumwaga kojo lao sio sawa na ni kero, leo ilibaki padogo nioge kojo baada ya dada mmoja kutaka kumwaga wakati mimi niko uko faraghani, kama mnahogopa kwenda chooni usiku wa ma8 si muamshe waume zenu wawasindikize!, na nyie singles tubadilishane number muwe mnatupigia tuwasindikize basi.
Tukupe namba maana ni wote tumepanga hapoHii tabia ya dada zetu wawapo chumbani usiku wakishikwa na haja ndogo unakuta wanajisaidia kwenye makopo Kisha asubuhi wanapishana kwenda chooni kumwaga kojo lao sio sawa na ni kero, leo ilibaki padogo nioge kojo baada ya dada mmoja kutaka kumwaga wakati mimi niko uko faraghani, kama mnahogopa kwenda chooni usiku wa ma8 si muamshe waume zenu wawasindikize!, na nyie singles tubadilishane number muwe mnatupigia tuwasindikize basi.
Mh!, kumbe mpo humu!? Acheni hzo tabia.Tukupe namba maana ni wote tumepanga hapo