Dada zetu acheni kugeuza chumba cha kulala kuwa choo

Duh bado unaishi karne ya 18.
 
Hii tabia ya dada zetu wawapo chumbani usiku wakishikwa na haja ndogo unakuta wanajisaidia kwenye makopo Kisha asubuhi wanapishana kwenda chooni kumwaga kojo lao sio sawa na ni kero
Utakuwa umezaliwa juzijuzi mwamba! Utamaduni wa enzi na enzi huo! Zamani nilikuwa nafikri ni utamaduni wa kijijini tu lakini nilipofika mjini miaka ya 80th nikakutana na wamama wenye mazululu!
 
Wapi huko mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…