Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,937
- 3,959
- Thread starter
- #1,461
Sijatumwa mkuuMleta mada atakua alitumwa, watu mnamwaga radhi humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijatumwa mkuuMleta mada atakua alitumwa, watu mnamwaga radhi humu
Powakatoto kazuri nafurahi bado ni muumini wa JF..Watu wakikukera usikimbie mydear
Jambo zuri kabisaBosslady ni witnessj
Hahaaaaa...Alijua una bajeti yake ndo manaKuna mmoja alikosea namba tukachati sms mbili tatu nikashangaa anaimba nimuongezee nauli aje Dar kwa dada yake nikamblock hapo hapo.
Kasoro mimi sina tabia mbaya Mama SabrinaNikuambie kitu katoto,,ukiishi kwa kuumia humu jf utaumia sana,watu humu wanaandika wanachotaka wanasema wanachojisikia ,mimi humu mtu aseme mpaka abinuke kwanza najua kabisa hakuna msafi humu wengi wanaigiza ,wengi tabia mbaya tu
Hamna cha ubahili hapo..Ishu ni kwa nini akupe invoice fatsa fasta hivyo?Viherehere vyenu vinawaponza na ubahili wenu utakoma
Watakula mashine mpaka ziote sugu..Ukishakua ombaomba lazima chini kuumiekuwa 'pair' ni muhimu,ingawa si wote watakuwa 'pair',hawa wanaoomba omba au kupiga mizinga hawako katika lile kundi la kuwa 'pair' ni kuwaacha waendelee kutumika tu.
ha ha ha h a haWatakula mashine mpaka ziote sugu..Ukishakua ombaomba lazima chini kuumie
Hiyo comment inakupa aibu gani? ni kweli mkuu.Naona aibu mimi.
Hahahaaa umenifurahishaMwanamke anaweza akawa na number 200 za wanaume kwenye simu yake.. na kila mmojae akamuomba buku ya vocha assume 50 wakasema hawana 150 wakakubali 150x1,000= 150,000 kwa siku assume anaomba mara tatu kwa week 150,00x3=450,000 kwa week...
Wanaume tuzinduke
Aisee!labda nimoja wapo ya ujasiriamali.Mwanamke anaweza akawa na number 200 za wanaume kwenye simu yake.. na kila mmojae akamuomba buku ya vocha assume 50 wakasema hawana 150 wakakubali 150x1,000= 150,000 kwa siku assume anaomba mara tatu kwa week 150,00x3=450,000 kwa week...
Wanaume tuzinduke
DuuhUnakuta umekutana na mdada mtanashati mkabadikishana namba za simu, wengine hata siku haijaisha mmeanza kuchati kidogo tu utasikia.
#Baby mambo, naomba nitumie vocha ya buku jelo
#Baby nitumie buku tatu na mia nane nikanywe supu usingekutana na huyo mwanaume ungekunywa nini?
#Mwingine utamskia, baby nywele zangu zinaniwasha hatari,nitumie 30K niende saluni.
Jamani tunajua hali ni ngumu lakini mnavyojirahisisha sana ndo watu wanawa konki konki halafu mnakuja kulalama baadae.
Sasa umtongoze mwanachuo ndo hatari zaidi, bill zote zinahamia kwako, usipojielewa utajikuta unalipa ada ya chuo na kumgharamia kila kitu.
Wanaume wanapenda wanawake wasiopenda kuombaomba kuna wanaume wakishanza kupata bill zisizoeleweka ndo wanapata sababu ya kuwakimbia na wengine watawavumilia ila wakishakula papuchi hamuwaoni tena.
Tunaelewa njaa ni kali ila nendeni kwa step la sivyo nyeti zenu zitaumia sana.
Tanzania ndio Nchi pekee ambayo ukimtongoza demu.
1, Anasikia njaa hapo hapo.
2, Nywele zake zinafumuka
3, Siku yake ya kuzaliwa inakaribia
4, Simu yake inaharibika
5, Kodi ya nyumba inaisha
6, Mdogo wake anadaiwa ada, isipolipwa hafanyi mtihani wa "UE".
7, Anaomba hela ya mtaji........
8, .....
9,.......
10,......
....................................