Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

Nafikiri...
IMG-20181111-WA0001.jpeg
 
Jamani kuna nini siku hizi napitwaaa kwelii
Naomba nami kumjua bosslady wa jf
Unajua kuna muda hutaki tena mtu akudharau na muda ni sasa so kwa sasa mimi nahitaji respect because ndio muda wenyewe hata mimi huu ndio muda wakuheshimu wengine.
Ila mtu akizidi tunarukiana tu ikibidi.
Kweli maisha ni kuwa muwazi .
Kuishi kwa mawazo ni mbaya.
Utakufa kwa kizungu unaambia let it out yaani toa yote yaliyokuwa moyoni tena yanayokukera.
Nandio nimetoa ya moyoni nisije nikafa.
Uwe na wakati mwema
 
Unajua kuna muda hutaki tena mtu akudharau na muda ni sasa so kwa sasa mimi nahitaji respect because ndio muda wenyewe hata mimi huu ndio muda wakuheshimu wengine.
Ila mtu akizidi tunarukiana tu ikibidi.
Kweli maisha ni kuwa muwazi .
Kuishi kwa mawazo ni mbaya.
Utakufa kwa kizungu unaambia let it out yaani toa yote yaliyokuwa moyoni tena yanayokukera.
Nandio nimetoa ya moyoni nisije nikafa.
Uwe na wakati mwema
Nikuambie kitu katoto,,ukiishi kwa kuumia humu jf utaumia sana,watu humu wanaandika wanachotaka wanasema wanachojisikia ,mimi humu mtu aseme mpaka abinuke kwanza najua kabisa hakuna msafi humu wengi wanaigiza ,wengi tabia mbaya tu
 
Kuna mmoja alikosea namba tukachati sms mbili tatu nikashangaa anaimba nimuongezee nauli aje Dar kwa dada yake nikamblock hapo hapo.
 
Nikuambie kitu katoto,,ukiishi kwa kuumia humu jf utaumia sana,watu humu wanaandika wanachotaka wanasema wanachojisikia ,mimi humu mtu aseme mpaka abinuke kwanza najua kabisa hakuna msafi humu wengi wanaigiza ,wengi tabia mbaya tu
Poa ila bossy lady wa humu ninani mbona simjui
 
Unajua kuna muda hutaki tena mtu akudharau na muda ni sasa so kwa sasa mimi nahitaji respect because ndio muda wenyewe hata mimi huu ndio muda wakuheshimu wengine.
Ila mtu akizidi tunarukiana tu ikibidi.
Kweli maisha ni kuwa muwazi .
Kuishi kwa mawazo ni mbaya.
Utakufa kwa kizungu unaambia let it out yaani toa yote yaliyokuwa moyoni tena yanayokukera.
Nandio nimetoa ya moyoni nisije nikafa.
Uwe na wakati mwema
katoto kazuri nafurahi bado ni muumini wa JF..Watu wakikukera usikimbie mydear
 
Back
Top Bottom