Dada zetu acheni kuombaomba, mnajidhalilisha na jifunzeni kuficha njaa zenu

katoto kazuri,
duh mara magari sijui ya mikopo mara hadhi mara nini..vipi kulikoni...au umeguswa mahala ndugu? i blv amekutana na wa hivo...ila haimaanishi wadada wapo hivo maana wapo wanapambana na wao kama sisi au binadamu wengine huitaji comfort au sex kama human needs..wana emotions so sio suala la wao kuuza...ni tunapeana raha tu
 
kuwa 'pair' ni muhimu,ingawa si wote watakuwa 'pair',hawa wanaoomba omba au kupiga mizinga hawako katika lile kundi la kuwa 'pair' ni kuwaacha waendelee kutumika tu.
 
kuwa 'pair' ni muhimu,ingawa si wote watakuwa 'pair',hawa wanaoomba omba au kupiga mizinga hawako katika lile kundi la kuwa 'pair' ni kuwaacha waendelee kutumika tu.
Watakula mashine mpaka ziote sugu..Ukishakua ombaomba lazima chini kuumie
 
Hahahaaa umenifurahisha
 
Aisee!labda nimoja wapo ya ujasiriamali.
 
Tanzania ndio Nchi pekee ambayo ukimtongoza demu.

1, Anasikia njaa hapo hapo.

2, Nywele zake zinafumuka

3, Siku yake ya kuzaliwa inakaribia

4, Simu yake inaharibika

5, Kodi ya nyumba inaisha

6, Mdogo wake anadaiwa ada, isipolipwa hafanyi mtihani wa "UE".

7, Anaomba hela ya mtaji........

8, .....

9,.......

10,......

....................................
 
Duuh
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…