Dada zetu fungukeni mtuambie ukweli. Je, size kubwa ya uume ndio mnaridhika kimapenzi?

Dada zetu fungukeni mtuambie ukweli. Je, size kubwa ya uume ndio mnaridhika kimapenzi?

Fani yangu inahusiana na mwili wa mwanadamu. Ndio kazi yangu. Nimeisomea na ninaifanya. Mtu anawezaonekana kuwa ana maumbile makubwa katika hali ya kawaida kwa vile parasympathetic discharge kwenye organ yake ni kubwa kuliko yule aanayeonekana ana madogo. Lakini wote wakisimama, parasympathetic discharge inakuwa sawa na maumbile yanakuwa hayatofautiani sana. Usiniulize parasympathetic ni nini.
We umejuaje?
 
Fani yangu inahusiana na mwili wa mwanadamu. Ndio kazi yangu. Nimeisomea na ninaifanya. Mtu anawezaonekana kuwa ana maumbile makubwa katika hali ya kawaida kwa vile parasympathetic discharge kwenye organ yake ni kubwa kuliko yule aanayeonekana ana madogo. Lakini wote wakisimama, parasympathetic discharge inakuwa sawa na maumbile yanakuwa hayatofautiani sana. Usiniulize parasympathetic ni nini.
Unaeza kutuambia ni katika mandhari gani unaona maumbile ya kiume yakia yamesimama?
Na mangapi umeyaona mpaka ufanye conclusion kuwa wanaume wote wapo hivyo?
 
Usiulize maswali ya kijiweni. JF siyo kijiwe. Udaktari ni kazi watu wanasomea miaka 5-7. Tunashughulika na virusi/bakteria ambao hawaonekani kwa macho sembuse organ ambazo zinaonekana kwa macho kama penis? Wewe huko kijiweni unadili na yanayoonekana kwa macho tu. Hata ukiambiwa Rais wa kwanza wa nchi alikuwa Nyerere utakataa eti kwa sababu Nyerere alikufa kabla haujazaliwa na kwa hiyo haukumwona. Maswali ya kijiweni peleka huko kijiweni kwa wavuta bangi wenzio.
Unaeza kutuambia ni katika mandhari gani unaona maumbile ya kiume yakia yamesimama?
Na mangapi umeyaona mpaka ufanye conclusion kuwa wanaume wote wapo hivyo?
 
Usiulize maswali ya kijiweni. JF siyo kijiwe. Udaktari ni kazi watu wanasomea miaka 5-7. Tunashughulika na virusi/bakteria ambao hawaonekani kwa macho sembuse organ ambazo zinaonekana kwa macho kama penis? Wewe huko kijiweni unadili na yanayoonekana kwa macho tu. Hata ukiambiwa Rais wa kwanza wa nchi alikuwa Nyerere utakataa eti kwa sababu Nyerere alikufa kabla haujazaliwa na kwa hiyo haukumwona. Maswali ya kijiweni peleka huko kijiweni kwa wavuta bangi wenzio.
Umepanic mkuu.
 
Nimetulia hapa navuta picha jamaa kasimamia vidole kajikunja kama kapigwa ngumi ya chembe, rula mkononi anapima inches za mkuyenge.
 
Back
Top Bottom