Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

binafsi nina 29 na sijaolewa na Hilo halinifanyi nijione takataka Kisha nikubali kuolewa na takataka yoyote Kama mtoa mada kisa tu na Mimi nionekane na jamii nimeolewa,,, ukisema tunachagua Sana unamaanisha hatuna haki ya kuchagua wale tunaoona wanatufaa ktk maisha na haki hiyo Ni kwa wanaume tu sisi tuzoezoe tu Bora liende.... kauli Kama hizi ndizo zinafanya wanawake wengi kuvumilia ndoa za manyanyaso,, vipigo na dharau kisa anaogopa akiachika watu Kama wewe mtoa mada mtamnanga kwa kejeli mtaani bila kufahamu undani wake,, sitoacha kumuomba Mungu anijaaliye mume atakaye kua na kheri na Mimi sababu ndoa Ni ibada na stara kwa wote mwanamke na mwanaume lakini sitokua tayari kujitwika gunia la mavi maana ake mwanaume asiye na busara,, huruma Wala heshima kwa wanawake kwa kuogopea masimango ya wanajamii. hata hao unaowaona wameolewa waliwachagua Waume zao Kati ya wengi waliowafuata wakawaona watawafaa hawakukubali tu Bora liende,,in your next life nakuombea uzaliwe mwanamke,,.
Sawa kabisa ,,kama kuolewa basi uolewe na unayeridhika nae, siyo tu uolewe halafu unaishi kwa majuto.
Mimi niliishi na mke wangu miaka mitatu hadi tukaja kuamua wenyewe kuwa sasa tuoane. Tunaenjoy ndoa yetu sana sasa.
 
binafsi nina 29 na sijaolewa na Hilo halinifanyi nijione takataka Kisha nikubali kuolewa na takataka yoyote Kama mtoa mada kisa tu na Mimi nionekane na jamii nimeolewa,,, ukisema tunachagua Sana unamaanisha hatuna haki ya kuchagua wale tunaoona wanatufaa ktk maisha na haki hiyo Ni kwa wanaume tu sisi tuzoezoe tu Bora liende.... kauli Kama hizi ndizo zinafanya wanawake wengi kuvumilia ndoa za manyanyaso,, vipigo na dharau kisa anaogopa akiachika watu Kama wewe mtoa mada mtamnanga kwa kejeli mtaani bila kufahamu undani wake,, sitoacha kumuomba Mungu anijaaliye mume atakaye kua na kheri na Mimi sababu ndoa Ni ibada na stara kwa wote mwanamke na mwanaume lakini sitokua tayari kujitwika gunia la mavi maana ake mwanaume asiye na busara,, huruma Wala heshima kwa wanawake kwa kuogopea masimango ya wanajamii. hata hao unaowaona wameolewa waliwachagua Waume zao Kati ya wengi waliowafuata wakawaona watawafaa hawakukubali tu Bora liende,,in your next life nakuombea uzaliwe m

binafsi nina 29 na sijaolewa na Hilo halinifanyi nijione takataka Kisha nikubali kuolewa na takataka yoyote Kama mtoa mada kisa tu na Mimi nionekane na jamii nimeolewa,,, ukisema tunachagua Sana unamaanisha hatuna haki ya kuchagua wale tunaoona wanatufaa ktk maisha na haki hiyo Ni kwa wanaume tu sisi tuzoezoe tu Bora liende.... kauli Kama hizi ndizo zinafanya wanawake wengi kuvumilia ndoa za manyanyaso,, vipigo na dharau kisa anaogopa akiachika watu Kama wewe mtoa mada mtamnanga kwa kejeli mtaani bila kufahamu undani wake,, sitoacha kumuomba Mungu anijaaliye mume atakaye kua na kheri na Mimi sababu ndoa Ni ibada na stara kwa wote mwanamke na mwanaume lakini sitokua tayari kujitwika gunia la mavi maana ake mwanaume asiye na busara,, huruma Wala heshima kwa wanawake kwa kuogopea masimango ya wanajamii. hata hao unaowaona wameolewa waliwachagua Waume zao Kati ya wengi waliowafuata wakawaona watawafaa hawakukubali tu Bora liende,,in your next life nakuombea uzaliwe mwanamke,,.
Thamani ya mwanamke ni ndoa labda uwe na uwezo kipato uandishi wako inaonekana wewe ndio tatizo unayekwamisha safari
 
Thamani ya mwanamke ni ndoa labda uwe na uwezo kipato uandishi wako inaonekana wewe ndio tatizo unayekwamisha safari
umeharakisha kusoma au uelewa wako Ni mdogo hamna mahali nimesema Wala kumaanisha ndoa haina thamani kwa mwanamke.,,
 
To some,marriage aint a priority,
Kwahiyo hao nna hakika hata hawastuki na maisha yanaenda tu
Kuna mmoja ashawai niambia ye hataki kuolewa as she is paranoia so hawezi kustand marriage,
Kwahiyo sio wote ambao hawajaolewa wanajisikia vibaya,afu ujue hizi ishu ni huku bongo tu,ulaya huko sio ishu wala nini mambo ya ndoa sasa huku sijajua bado kama tumekwama 80's au vipi,
 
Aah tuacheni na mileage zetu bana, kwanza hainaga makombo ikioshwa tu inakua mpyaa[emoji57][emoji57]
Nan kakudanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajifariji eeh ..kama Haina makombo baki eneo ulilokulia km utaolewa
 
Back
Top Bottom