Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

[emoji1][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]pole
 
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
Maadili ya kazi ya utabibu hayaruhusu kumwekea mgonjwa figo isiyojulikana ilikotoka, kimsingi huwezi kumwekea mtu figo yoyote kutoka kwa binadam yeyote, mpaka binadam huyo (donor) afanyiwe vipimo kadha wa kadha vya kuonesha kuwa mwili wake na mwili wa mpokeaji wa figo hiyo (receipient) inaendana (compatible). Jambo la kuchunguza hapa ni uwezekano wa kuwepo kwa "biashara ya viungo vya binadam" hapa nchini, ambapo baadhi ya wataalamu wa afya wasiokua na maadili wanaweza kushirikiana na wafanyabiashara wa viungo hivyo ndani na nje ya nchi kufanya biashara hiyo haramu.
 
mkuu kuna hospital kubwa tu hapa town wanafanya hii michezo ila legally ila sio legal kiviiiile yani wanawanunua watu wanaotaka kuuza figo usikute daktari kapewa mtonyo kaifanya ishu kitaalam kabisa
 
Hiyo Preservation ndo mazingira kama hayo yanahitajika na Proffesional people sio tu kuchana na kungofoa Figo.. Na process hiyo Kupata wataalamu wenye uwezo sio wahuni wakuteka watu na kufanya hayaaa..!! So hizi figo hakuna namna zimeenda kupandikizwa
 
mkuu kuna hospital kubwa tu hapa town wanafanya hii michezo ila legally ila sio legal kiviiiile yani wanawanunua watu wanaotaka kuuza figo usikute daktari kapewa mtonyo kaifanya ishu kitaalam kabisa
Duuh kupandikiza figo wanafanya Muhimbili mkuu
 
Wewe mtu wa kale kweli ndugu yangu,waru siku hizi huduma za hospitali wanazo km theatres majumbani kwao. Wana kila facilities km za hospitali plus proffessional doctors
 
Nasikia alikutwa geust house,, lazima jamaa alikojowa Kwanza kabla ya mauaji.

RIP mrembo,,Mungu atakulipia kwa wote waliohusika kwa unyama huu.
Wadada tena wanavyopenda hela na bata
Utafikiria tiaraei vile
Kwa mfumo huu watangolewa sana viungo
Inabdi wabadilike sasa

Ova
 
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
kuna utaratibu mzuri sana tena wa wazi kabla ya kufikia hatua ya mwisho ya kutoa figo.
labda kama kua taasisi ya siri ambayo ipo kusikojulikana inayofanya huo uhalifu.
 
Huu mji ifike mda police waanze kufanya vetting ya vijana wanachofanya to survive maana kumekuwa na watu wa ovyo wanaoshinda mabar na club bila kujulikana source ya income especially mbezi beach,sinza na tabata.

naunga mkono hoja
 
Yani tunajua fika ikiwa hivyo lazima kunawatu watawajibishwa hapo hospital ya taifa.. kwasababu ndio hospitali pekee inaweza fanya hiyo transplant ukiachana na Ile ya Dodoma.. kama wapo matabibu wanao toa mimba kinyume na maadili ya utumishi hata kuvunja hiyo miiko hawashundwi mkuu ukizingatia pesa ya figo ni kubwa zaidi
 
Reactions: Cyb
Kwani ulikuwepo akitolewa figo ukaona waliotoa hawakuwa professional?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…