Dada zetu sasa mmezidi!!!

Wewe utakuwa sio wa bandia maana mashairi uliyoweka hapa si ya bandia!

Labda nywele tu ndo sometime najaladia tena za mitindo ya kwetu Afrika sio vinginevyo. Vingine vyote asilia na bado mrembo kweli kweli. Ukitaka bandia wapo tele, ukitaka natural hao nao ndio wengi zaidi kwa hiyo ni uchaguzi wenu wenyewe mnachagua bandia kila kitu, kwani we kucha za kweli na za kubumba huzioni? Kope za kuchonga na za ukweli huwezi kuzitambua? Acheni kulia lia hapa mnachagua wenyewe.
 


Digna you have really made my day!!
Uzuri wangu wa tausi mama, Maringo kwetu kawaida,
Wenzangu wananisengenya, Nikipita mara hubonyezanaeeeee!!

Wamesahau kazi zao, Kutwa nzima kunichunguza,
Maringo kwetu kawaida, hamuwezi Kunyamazaaeeeeee!!!!
 
Si ndio mnavyotaka, vizuri vizuri tu. Mwanamke akiwa ana mapungufu fulani ya uzuri basi mnaanza kuangaza kwengine sasa hii ni kuwasaidia mpate everything under one roof.
Avatar yako imesadifu maudhui ya huu ujumbe
 
katika vitu vyote vya bandia napenda matiti bandia,sema huku kwetu sijui wanauzia wapi izo dawa?
 
Hata kazi bandia,safari bandia,ofisi bandia,ndugu bandia na mambo mengi wanayoyafanya ni ya bandia
 
kuna dada mmoja nilimuona ana nyusi za kope kama kibrashi cha chachandu...
 
Na wanaume mapenzi bandia!!! hapo vipi?
 
mimba bandia

sister umenikumbusha story moja,dada mmoja wa manzese alikua kwenye uhusiano wa kimapenzi na mchina,mchina akawa anamwambia kwamba anahamu na mtoto na atakaye mzaria atampa mali za kutosha,demu akamtegea mara akaramba mimba mtoto alipo zaliwa kamaliza wiki akafa demu akajua mali kazikosa akawa analia msibani "uuuwii,nilijua tu kama mtoto wangu hata dumu maana nyie wachina mmezidi kwa vitu feki hadi mtoto faki aiwezekani mwanangu wik 1 afe,oooh we ulinipa mimba fek.teh,teh,teh
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…