EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Habari za Leo wakubwa,
poleni na mihangaiko jamani,
Basi leo nimejikuta nawaza mbali sana baada ya kukutana na dada mmoja ana mikucha mirefu balaa mara pap nikakumbuka movie ya shumileta, walati nakumbuka picha ya msyuka ikanijia nikaogopa. Nadhani uliwahi angalia movie ya msyuka jinsi inavyotisha.
Kwa kifupi hawa dada zetu wamekuwa WAZUNGU BANDIA mpaka wanatutisha eti.
Kope za bandia, nywele za bandia, kucha za bandia, makalio ya bandia, nyusi za bandia, sura ya bandia.
Halafu anakwambia anataka kuolewa na mwanaume mwenye DINI yaani yeye ajiweke kama JINI halafu atake mwanaume mwenye DINI. Dada yangu hapo lazima utapata mwenye MAJINI.
poleni na mihangaiko jamani,
Basi leo nimejikuta nawaza mbali sana baada ya kukutana na dada mmoja ana mikucha mirefu balaa mara pap nikakumbuka movie ya shumileta, walati nakumbuka picha ya msyuka ikanijia nikaogopa. Nadhani uliwahi angalia movie ya msyuka jinsi inavyotisha.
Kwa kifupi hawa dada zetu wamekuwa WAZUNGU BANDIA mpaka wanatutisha eti.
Kope za bandia, nywele za bandia, kucha za bandia, makalio ya bandia, nyusi za bandia, sura ya bandia.
Halafu anakwambia anataka kuolewa na mwanaume mwenye DINI yaani yeye ajiweke kama JINI halafu atake mwanaume mwenye DINI. Dada yangu hapo lazima utapata mwenye MAJINI.