Dada zetu tafadhali hata kama mnapenda Kuogelea, tafadhali msiogelee Baharini mkijijua mpo Mwezini ( Period ) sawa?

Dada zetu tafadhali hata kama mnapenda Kuogelea, tafadhali msiogelee Baharini mkijijua mpo Mwezini ( Period ) sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Mwenzenu mmoja kafanywa vibaya ( narudia tena kusema kafanywa vibaya ) na Dophin ( Pomboo ) baada ya Kuthubutu kwenda Kuogolea Baharini huku akiwa katika Siku zake ( Hedhini ) na kakipata alichokipata. Video yake iko ina trend itafuteni kwani Kimaadili siwezi Kuiweka hapa.

Na wataalam wa Wanyama wanasema kuwa hakuna Viumbe ambao wanajua Kunusa na Kuhisi vile vilivyo mbali au vilivyofichwa kama hawa Wanyama ambao kuna muda tunawaona hawana Akili Kubwa kama zetu lakini kumbe Kiuhalisia kuna Wanyama wengi tu wana Uwezo mkubwa wa mambo kuliko Sisi.

Nilikuwa sijui kwanini Ng'ombe au Mbwa huwa Wakali sana na hata muda mwingine Kuwakimbiza na Kuwabwekea sana Dada zetu kumbe kwa mujibu wa Wanasayansi na Wataalam wa Wayama wanasema kuwa ukiona wanafanya hivyo kwa Mwanamke aliye karibu nawe basi jua huyo Mwanamke anakuwa Hedhini.
 
Wataalamu naomba kujua kwanini mtu akiwa mwezini akiingia kuogelea damu inakata?🤔
Mmh sidhani kama inathibitishwa kisayansi wala kiuswahili

Na je kuogelea maji gani?? Swimming pool, Baharini ama mtoni

All in All ile haikatishwi na kuogelea, vinginevyo wale ma-CD wauzaji wangekuwa wakitaka kurudi sokoni fasta

Mwezi ukiandama tu, ingekuwa breki ya kwanza Coco kisha breki ya pili Riverside kwa DC kuendeleza Jaramba

ili kila mmoja apate wa kwake makonda na wapiga debe
 
Mmh sidhani kama inathibitishwa kisayansi wala kiuswahili

Na je kuogelea maji gani?? Swimming pool, Baharini ama mtoni

All in All ile haikatishwi na kuogelea, vinginevyo wale ma-CD wauzaji wangekuwa wakitaka kurudi sokoni fasta

Mwezi ukiandama tu, ingekuwa breki ya kwanza Coco kisha breki ya pili Riverside kwa DC kuendeleza Jaramba

ili kila mmoja apate wa kwake makonda na wapiga debe
Ukiwa ndani ya maji ndio inakata, ukitoka nje ya maji baada ya muda inatoka tena

Nilienda swimming pool na marafiki zangu, mmoja akaniambia hivyo nikasema nijaribu mzigo haukutoka mpaka muda wa kuondoka
 
Kuna Mwenzenu mmoja kafanywa vibaya ( narudia tena kusema kafanywa vibaya ) na Dophin ( Pomboo ) baada ya Kuthubutu kwenda Kuogolea Baharini huku akiwa katika Siku zake ( Hedhini ) na kakipata alichokipata. Video yake iko ina trend itafuteni kwani Kimaadili siwezi Kuiweka hapa.

Na wataalam wa Wanyama wanasema kuwa hakuna Viumbe ambao wanajua Kunusa na Kuhisi vile vilivyo mbali au vilivyofichwa kama hawa Wanyama ambao kuna muda tunawaona hawana Akili Kubwa kama zetu lakini kumbe Kiuhalisia kuna Wanyama wengi tu wana Uwezo mkubwa wa mambo kuliko Sisi.

Nilikuwa sijui kwanini Ng'ombe au Mbwa huwa Wakali sana na hata muda mwingine Kuwakimbiza na Kuwabwekea sana Dada zetu kumbe kwa mujibu wa Wanasayansi na Wataalam wa Wayama wanasema kuwa ukiona wanafanya hivyo kwa Mwanamke aliye karibu nawe basi jua huyo Mwanamke anakuwa Hedhini.
Kwanini wanyama wanaichukia hedhi kwani ina nini wazee, nielewesheni wakuu
 
Back
Top Bottom