Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Wapi hukoNiliwahi kukimbizwa na ng'ombe Sina Hamu nikimuona ng'ombe mimi napita kuleeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hukoNiliwahi kukimbizwa na ng'ombe Sina Hamu nikimuona ng'ombe mimi napita kuleeee
Wewe atakaye kuwa anakuchakata ana balaa sana.ndo maana kule JKT walikunanii sana.Ukiwa ndani ya maji ndio inakata, ukitoka nje ya maji baada ya muda inatoka tena
Nilienda swimming pool na marafiki zangu, mmoja akaniambia hivyo nikasema nijaribu mzigo haukutoka mpaka muda wa kuondoka