Dada zetu wanatamani kuzaa. Wanaume wenzangu mnasubiri nini?

Dada zetu wanatamani kuzaa. Wanaume wenzangu mnasubiri nini?

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Kijana wa kiume mwenye zaidi ya miaka 25 na una geto lako mwenyewe acha kuishi mwenyewe kama Jini, tafuta binti anzeni maisha na mpate watoto dunia ipate vijana wapya.

Ukiangalia sababu kubwa ya vijana kutokuoa ni kudai kuwa wasichana wanataka kuhongwa na hamna pesa.

Ngoja ni wambie kitu vijana wenzangu, sio wasichana wote Tanzania na duaniani wanataka kuhongwa, wapo wasichana na wanawake wengi sana wanatamani kuondoka majumbani kwao na kwenda kuishi na wanaume kwa lengo la kuanzisha maisha yao.
 
Shida wanawake ukimleta badala ya kuleta furaha na kujenga maisha anaharibu maisha na furaha yako kabisa kijana mwenye getoo lakoo. kama sio kukufilisi.

basi atakupasua kichwa mpaka upige mtu risasi kama sio kumchoma na gunia la mkaa.

Papuchii tu atakupaa mwanzoni ila zitaanza demands za ajabu ajabu demand ya kwanza kabisa itakuwa demand ya harusi kama ya nandy na mc garab awepo..

Demand ya pili, ya 3, ya 4, mwanaume unajuta kwa nini umeweka mzigo ndani
 
Hujawahi kukaa na mwanamke wa kizazi hiki ww
Usione ndoa inadumu watu wanavumilia mengi sana, wapo wanaume wanaoishi na wake wavuta bangi na wanawavumilia ndio maana unaona wapo wawili laiti ungejua ya ndani mwao, mwanaume usipokuwa mvumilivu hutapata mke, kila mwanamke ana changamoto zake huwa zinatofautiana tu, ukiacha huyu kwasababu ya tatizo hili ukachukua mwingine basi utakutana na mengine
 
Kijana wa kiume mwenye zaidi ya miaka 25 na una geto lako mwenyewe acha kuishi mwenyewe kama Jini, tafuta binti anzeni maisha na mpate watoto dunia ipate vijana wapya.

Ukiangalia sababu kubwa ya vijana kutokuoa ni kudai kuwa wasichana wanataka kuhongwa na hamna pesa.

Ngoja ni wambie kitu vijana wenzangu, sio wasichana wote Tanzania na duaniani wanataka kuhongwa, wapo wasichana na wanawake wengi sana wanatamani kuondoka majumbani kwao na kwenda kuishi na wanaume kwa lengo la kuanzisha maisha yao.
Unachowashauri ni kuwa wawaibe binti za watu waanze nao maisha😡
 
Ni makubaliano tu ndugu yangu, bint kama ana miaka 25 kwanini asiolewe
Kwa nini usimheshimishe kwa kumfuata kwao na kumuomba rasmi?

Harusi siyo takwa kuu bali ndoa ndiyo muhimu sana. Nenda kwao fuata utaratibu jieleze hali yako watakuelewa tu.

Muache kuwaharibia future dada zetu kwa ahadi za kuwaoa huku mkiwatumia kama dodoki. Sehemu kubwa ya harusi za siku hizi utakuta bwana harusi alikuwa kinyumba na mwanamke mwingine wakazaa lakini anakuja kuoa mwingine.

Wanawake wanahitaji ndoa yes lakini heshima pia
 
Back
Top Bottom