Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

Pupa ya nini mwache kama anafanya kazi zake familia tulieni mkiingia kwenye mkumbo wa kusikiliza ndugu wa pembeni tayr mtaanza kutengeneza tatizo kwa
Mpango wa Mungu ataolewa tu
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Pambaff! Olewa wewe badala yake!
 
Kupata mme ni kazi kwao!
 

Attachments

  • images (6).jpeg
    37.6 KB · Views: 2
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
nipewe mm nmuoe aiseee
naomba sana mana nlkua natafute mke
 
Mimi yupo ana 35! Wazo la kuolewa alishalifuta! Labda utokee muujiza.
 
Reactions: G4N
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
Umemchunguza vzr dadako co Tomboy?
 
Ni ushauri gani mnaweza kuipatia familia yangu juu ya wasiwasi huu?

Binafsi nilikiwa na wazo moja, kwamba nimtafute mwanaume nimlengeshe kwa sista bila ya yeye (sista) kujua halafu amuoe.
WEKA PICHA YA DADA'AKO FASTA, TUKUPE MWONGOZO HAPA!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…