Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu

Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu

Umesema sahihi Mkuu 🙏

Miaka fulani nilikuwa nachinja ng'ombe na kubadirishana na Mazao ya nafaka, hii ni baada ya kuwa kule Kijijini wengi walikuwa wanashindwa ku-afford kununua nyama Kwa bei ya kilo kilo

Hivyo solution ilikuwa nawapa kilo ya nyama then wananipa sado 3 za mahindi/mtama

Baada ya muda unaondoka na gunia kadhaa za mazao 😜
acha kamba mkuu
 
Back
Top Bottom