Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
acha kamba mkuuUmesema sahihi Mkuu 🙏
Miaka fulani nilikuwa nachinja ng'ombe na kubadirishana na Mazao ya nafaka, hii ni baada ya kuwa kule Kijijini wengi walikuwa wanashindwa ku-afford kununua nyama Kwa bei ya kilo kilo
Hivyo solution ilikuwa nawapa kilo ya nyama then wananipa sado 3 za mahindi/mtama
Baada ya muda unaondoka na gunia kadhaa za mazao 😜