Dagaa wa Kigoma, What happened?

Dagaa wa Kigoma, What happened?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Zamani kama miaka 20 iliyoipita dagaa wa aina zote
ikiwemo dagaa wa kigoma walikuwa ni chakula cha walalahoi
watu masikini kabisa,na bei yake ilikuwa chini mno
ilikuwa dagaa wanauzwa hawafiki hata robu ya bei ya kuku..

sasa dagaa wa kigoma wanauzwa kilo kuanzia 16000 na kuendelea
kilo moja hiyo....
yaani kuku wanauzwa mpaka elfu tano lakini dagaa wanaanzia elfu kumi na sita kilo moja

najiuliza ninikimetokea?

kuna soko la nje?
dagaa wamepungua ziwani?
idadi ya watu labda imeongezeka ndo sababu?

nini hasa kimetokea kufanya wapande bei sana dagaa wa kigoma?

cc Kaunga ....
 
Last edited by a moderator:
Tena basi ukikuta msimu wa 'mbala mwezi' kilo waambiwa elfu 20-25.
kanjni ranisi tu ya biashara nadhani ambauo ni mahitaji yakiongezeka na bei inapanda.
 
Zamani kama miaka 20 iliyoipita dagaa wa aina zote
ikiwemo dagaa wa kigoma walikuwa ni chakula cha walalahoi
watu masikini kabisa,na bei yake ilikuwa chini mno
ilikuwa dagaa wanauzwa hawafiki hata robu ya bei ya kuku..

sasa dagaa wa kigoma wanauzwa kilo kuanzia 16000 na kuendelea
kilo moja hiyo....
yaani kuku wanauzwa mpaka elfu tano lakini dagaa wanaanzia elfu kumi na sita kilo moja

najiuliza ninikimetokea?

kuna soko la nje?
dagaa wamepungua ziwani?
idadi ya watu labda imeongezeka ndo sababu?

nini hasa kimetokea kufanya wapande bei sana dagaa wa kigoma?

cc Kaunga ....

Nafikiri gharama za hao dagaa wa Kigoma zinapandishwa na: UBORA WAKE na DEMAND INAZIDI SUPPLY!
 
Tena basi ukikuta msimu wa 'mbala mwezi' kilo waambiwa elfu 20-25.
kanjni ranisi tu ya biashara nadhani ambauo ni mahitaji yakiongezeka na bei inapanda.

yaani wewe hadi dagaa wa kigoma watajwe ndo unatokea?

mbona wa mwanza hawapandi bei?
nahisi kuna kitu,usikute upande wa DRC wanavuna high scale'
wanauza nje
 
mi bado nagonga tu vyuku! am in love with vidari bwana!
poleni waswahili mchaga na dagaa wapi na wapi?
 
Kama unahitaji ni PM nitakuletea kwa kilo sh 15000,safi hawana mchanga wakubwa wanang'aa silver color

mi nataka walio hai nifuge
we unaweza leta wakiwa hai dar?
au vifaranga vyake?
 
ndo wale wanasema wa nyama? mi najua tu dagaa wa bukoba kwetu kule !
wa musoma nao naona ni cheap tunanunulia kuku sana
ila kwa kifupi si mtaalamu wa dagaa sana maana kuna wengine ukila kama wanasimama kama misumari huko tumboni bwana!
 
Mie nilikwenda kigoma nikitegemea nitarudi na dagaa wa kufa mtu lakini niliambulia kurudi mikono mitupu,nilipouliza niliambiwa ni musimu lakini nimejaribu kufuatilia bei haishuki kabisa.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mie nilikwenda kigoma nikitegemea nitarudi na dagaa wa kufa mtu lakini niliambulia kurudi mikono mitupu,nilipouliza niliambiwa ni musimu lakini nimejaribu kufuatilia bei haishuki kabisa.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


very strange kwa kweli
 
yaani wewe hadi dagaa wa kigoma watajwe ndo unatokea?

mbona wa mwanza hawapandi bei?
nahisi kuna kitu,usikute upande wa DRC wanavuna high scale'
wanauza nje
wa Mwanza mchanga mtupu nani anataka. Halafu ukumbuke 'zamani' unayoizungumzia soko halikuwa kubwa. Sasa hivi watu wanavua na kuuza kila pembe ya nchi na hata nje ya nchi.
Kwa DRC sijui.
Halafu hao kuku wa elfu tano ni wepi kwanza?
 
wa Mwanza mchanga mtupu nani anataka. Halafu ukumbuke 'zamani' unayoizungumzia soko halikuwa kubwa. Sasa hivi watu wanavua na kuuza kila pembe ya nchi na hata nje ya nchi.
Kwa DRC sijui.
Halafu hao kuku wa elfu tano ni wepi kwanza?

kuku wa elfu tano wa kisasa kwa wanaofuga
huna jirani anaefuga?
 
Lekadutigite imawese na luchumvi maa na lupilipili ma inakolea kosingo likayabo ehe.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
Mi mwenyewe nafuga, nimekuuliza kimtego nikadhani una mahala unanunua wa kienyeji kwa bei hiyo

ha haaa wewe....haya ...
una soko kubwa la uhakika?
 
Yaaani The Boss hata nashangaa hii misumari ya bati ya Kigoma ilivyopanda bei. Zamani ulikiwa ukila sana dagaa unaonekana imeishiwa.

Tutakula wa ziwa Victoria kwani function yake mwilini ni ile ile.
 
Last edited by a moderator:
mimi sipendi dagaa wa aina yeyote ile mimi nyama kwenda mbele labda ninapofulia nakula shingo upande
 
Yaaani The Boss hata nashangaa hii misumari ya bati ya Kigoma ilivyopanda bei. Zamani ulikiwa ukila sana dagaa unaonekana imeishiwa.

Tutakula ya ziwa Victoria kwani function yake mwilini ni ile ile.


siku hizi dagaa wanakula wenye nazo
yaani hata kuku hawawafikii dagaa hawa wa kigoma
very strange kwa kweli
 
Na kuchakachuliwa juu wengine ni wagumu hadi uchemshe kama nyama..
 
Back
Top Bottom